5SOME UNAWEZAJE AISEE...WE MWANAMKE AISEE...NDIO NATESEKA JUU YA PENZI LAKO
TUKO WANGAPI KWANI?
Wawili tuna julikana sasa, na Bombadia wasio julikana[emoji12] [emoji12] [emoji12]5SOME UNAWEZAJE AISEE...WE MWANAMKE AISEE...NDIO NATESEKA JUU YA PENZI LAKO
TUKO WANGAPI KWANI?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imepenya hiyooo usitake kunigombanisha na ndugu yangu mie tumetoka mbali wenyeweNyoooo !! Haha yaani wewe " ningelikuwa nae nisingeli kwambia haya ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hampo wawili tu... ngoja kuna sehemu nita kutag ... kuna wanaume wengine wawili wameitwa baby .. ukiachana na nyinyi ... mimi nilipoona ile comment mpaka nilipata kizungu zungu .. nikasema daah jose anaibiwahuna lolote...babe hiyo vipi, unatumikiaje mabwana wawili?
Hahaa Yaani umeamua kunifanyia figisu figisu kijanja ilimradi tu " unikatalie kijanja kunitafutia mtoto mzuri " sawa bwana ..acha nibaki na hamu zangu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imepenya hiyooo usitake kunigimbanisha na ndugu yangu mie tumetoka mbali wenyewe
Kwakweli sikutafutiii ndugu yangu nitamuangalia vipiHahaa Yaani umeamua kunifanyia figisu figisu kijanja ilimradi tu " unikatalie kijanja kunitafutia mtoto mzuri " sawa bwana ..acha nibaki na hamu zangu tu View attachment 1014232
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee " Haya bwana ".... ndugu yako mimi ni dada yangu ... twahe shimiana Sana "so hatuwezi ku-cross the line ".... kila nikuambiapo hivi hutaki kunielewa ..dahh nina gundu mimiKwakweli sikutafutiii ndugu yangu nitamuangalia vipi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka eti nina gundu mimiAisee " Haya bwana ".... ndugu yako mimi ni dada yangu ... twahe shimiana Sana "so hatuwezi ku-cross the line ".... kila nikuambiapo hivi hutaki kunielewa ..dahh nina gundu mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mjukuu wangu umeanza lini tabia ya uchonganishiHaha hampo wawili tu... ngoja kuna sehemu nita kutag ... kuna wanaume wengine wawili wameitwa baby .. ukiachana na nyinyi ... mimi nilipoona ile comment mpaka nilipata kizungu zungu .. nikasema daah jose anaibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa... unazidi kuwa mtamu kama mcharo
Pembe za Panzi [emoji23][emoji23][emoji23] hasisahauSalam zangu natuma kwa Viatu vya Samaki
Ujumbe: asisahau kuja na koro show
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajalifikisha tu babu? Mbona nilishamwagiza aleteHuyu ledada mbona mpaka leo file lake halijafika ofisini kwangu?
Asante sana mkuuSalamu zangu kwa
Mr Miller
Baby doll
Espy
Cut b
Aspirin
Shunie
Manengelo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaha pembe za Panzi na mbao za MawePembe za Panzi [emoji23][emoji23][emoji23] hasisahau
Kamanda ahsante sanaaa!
[emoji133][emoji133][emoji133][emoji133][emoji133]Una stahili hiyo nafasi, sikutarajia kama ntapata salamu yoyote humu, ni wewe uliyefanya hiko kitu, ni heshima kubwa sana.
Believe it.