Haha kwahiyo ni bora muuziwe bunduki ..kuliko kukubali shunie anipe mdogo wake .... dah !! Wee mzee hata mimi wanifanyia roho mbayabora tuuziwe bunduki bei ndogo.
kwani me najua danganya mama?Sema kweli babe
Rose mhando kwenye peak yake aliwahi imba hivii!!
...Nakuulizaa shetani umepata wapi mamlaka ya kuniharibia kiasi hiki weeee!!.... [emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Hahaa ' kwa hiyo huo ujumbe wako nikusaidie kuufikisha kwa nani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss wangu Shunie tuu
Ngoja aje hapa tumsikie ...isije kuwa unampaka mafuta kwa style ya mgongo wa chupa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mkuu unafaidi sana ... nipigie pasi basi kwa mdogo wake Shunie angalau na mimi ndugu yako nipate kujitoa kimaso maso " kwenye huu u,- bachela sugu ... Shunie kila niki mwambia anipigie pasi hataki
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa anavyokujua we nenda jukwaa la intro katafuta new membaz tu..
kwani me najua danganya mama?Sema kweli babe
Sasa sindio uniweke na mimi ndugu yako huko ... ni yafaidi mema ya nchi natarajia kustaafu mwakani .... wataka kikokotoo nitakacho kipata nikitafune na nani !? Au wataka nidumbikie kwa mafisi ya mjini nini wanifilisi kikotoo changu chote na wanibakishe na nguo mbili tu.Uziguani pasikie tu rafiki.
Kudanganya kuna vingine unanidanganyakwani me najua danganya mama?
Hahaha usicheke aise ...umeona huyu mzee anavyo ni bomoa !?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utataka uchovye na mzinga wa asali..Haha kwahiyo ni bora muuziwe bunduki ..kuliko kukubali shunie anipe mdogo wake .... dah !! Wee mzee hata mimi wanifanyia roho mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
😳vipi hivyo?...Kudanganya kuna vingine unanidanganya
Vingi tu babe😳vipi hivyo?...
hebu taja vidogodogo vile vikubwa subiri kwanza!..Vingi tu babe
Sidhani kama litakuwa ni jambo baya ... kuliko kuniacha niendelee kuchunwa tu na yale ma slay queensUtataka uchovye na mzinga wa asali..
umeona sasa, ndio maana pasi haziruhusiwi mjini.Sidhani kama litakuwa ni jambo baya ... kuliko kuniacha niendelee kuchunwa tu na yale ma slay queens
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha " daah ila kweli umenichoka .... eti kwa jinsi mnavyo nijua nikienda kwenye jukwaa la intro tu ..nikirudi lazima nirudi na m-bebez dah !!umeona sasa, ndio maana pasi haziruhusiwi mjini.
Sawa .. wakipita hapa ..bila shaka zitawafikiaNatuma salamu kwa maraia wote na machalii ya Ara.
wazee wa Linchi la United state of Arusha ama Chuganistani.
Haina gweraa machalii yangu machale kundesha.
nimeongea Chuga language kuonyesha msisitizo.View attachment 1014389
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kutaja vikubwa tuhebu taja vidogodogo vile vikubwa subiri kwanza!..