Kumeaza kuchangamka, ananyonyesha paka

Kumeaza kuchangamka, ananyonyesha paka

Poa,

Kama sikosei kuna siku nilikutolea maneno ambayo hayakua sawa,
Nikiri kua nilifananisha ID yako tu,kuna ID ilinitukana bila sababu kwenye uzi mwingine,nikajua ni wewe ila nilikuja kugundua kua sio wewe,i was wrong,

Just take it easy n forget it,u have my respect,
Nimekupenda 🤝

Kwahiyo sahivi uko wapi
 
Ila kuna wadada hawawatendei haki future husbands wao.

Imagine binti anakuja kutolewa mahari aolewe katika hali hii
1.Matiti yamelala
2.Bikra ya mbele hakuna
3.Bikra ya nyuma hakuna
4.Mnato mbele hakuna
5.Uzazi tatanishi kutokana na p2, uzazi wa mpango na abortions
6. Bado huyo huyo ana gubu, anataka haki sawa, ana kiburi, na bado anawasiliana na ma x wake

The worst of it, Ana mtoto alimuacha kwa bibi ana miaka 3 saiv, anataka aishi nae hawezi kukaa mbali na mwanae
 
Back
Top Bottom