Kumeaza kuchangamka, ananyonyesha paka

Huu nao ni ujumbe


Cc. Evelyn salt, cocastic, ephen aone kwenye jalada
 
Kila mtu na maumbile yake kuna wanaoota maziwa na yakalala baada ya muda mfupi kupita bila kushikwa wala kunyonyesha, kuna wengine hata wawe na watoto 10 maziwa hayalali(mfano halisi ni mama yangu mdgo ana watoto saba lkn ziwa ni kama binti wa miaka 12, na watoto wake ananyonyesha mpka miaka miwili na nusu).

Hili ni suala la kimaumbile zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…