..ukitoka chimbo mdomo kama mbwa mwitu ametoka mawindoni........We mega tu..tena ikiwezekana ingia na chumvini kabisaaaaaa!
oooops!..ukitoka chimbo mdomo kama mbwa mwitu ametoka mawindoni........
asante mama mchungaji...puuuuuuu!!!!!!!
we Pape na Hebrewz hamna haya kweli..ndo mnataka muonekane marijali au vip.. we kama una nyeg* mshindo basi uwe unakula unda kila siku ila ikifika siku hizo za simba achia uwanja.. lakini we umechezaaaaaa mwezi mzima na simba wakitaka kucheza we nae wataka kucheza nao..inakuja kweli?? nyie wachafu hamna lolote..ukizingatia yale mazingira ya uwanja yanavyokuaga....afadhali ya kaka george ajinyamazie anamaadili yake..nyie wengine yo so disgusting..
Loh.We mega tu..tena ikiwezekana ingia na chumvini kabisaaaaaa!
teh teh teh, hakuna mkuu, usingemmwaga...ungemsamehe tu...Loh.
nakumbuka kuna demu mmoja (enzi hizo niko shule!), nilimtokea, sasa siku ya mechi mi sina hili wal lile najua mambo shwari kumbe ndio ilikua siku yake ya mwisho ya doa jekundu, yeye kumbe haraka ya kutaka kumegwa akajua itawai kukata, Lol ile tumemaliza tu madoa hayo yakatoka, asee nilikasirika sana na kummwaga siku ileile.
nilimmwaga kwa sababu hajijui mwili wake uko vipi.teh teh teh, hakuna mkuu, usingemmwaga...ungemsamehe tu...
pole mkuu....ndio maisha ayo....kwani ulipigana vita bila silaha?nilimmwaga kwa sababu hajijui mwili wake uko vipi.
mtu kama huyu hakawii kukwambia kesho yake NINA MIMBA YAKO!!, wakati jana yake alikwambia yuko kwenye siku ambayo ni safe, Lol.
enzi hizo ilikua must!. Ila nilichukua tahadhari mapema kusepapole mkuu....ndio maisha ayo....kwani ulipigana vita bila silaha?
Hi,
Kuna madhara gani ya kumega au kumegwa wakati 'mamsapu' akiwa mwezini (ndani ya zile siku 3-5 za rangi nyekundu)....
heheheeeLoh.
nakumbuka kuna demu mmoja (enzi hizo niko shule!), nilimtokea, sasa siku ya mechi mi sina hili wal lile najua mambo shwari kumbe ndio ilikua siku yake ya mwisho ya doa jekundu, yeye kumbe haraka ya kutaka kumegwa akajua itawai kukata, Lol ile tumemaliza tu madoa hayo yakatoka, asee nilikasirika sana na kummwaga siku ileile.