Kumega au kumegwa mwezini

Kumega au kumegwa mwezini

naona kichefuchefu kujadili................nenda kwa doctor kaka/dada ukajulishwe.................loh wabondo bwana!!!!!!
 
hili ni jambo muhimu kulijadili, hakuna madhala yoyote, ukitaka kujua fuatilia watu wanapofunga ndoa, ni lazima siku hiyo wabanjuane, na mala nyingi kutokana na stress, bibi harusi huwa anaingia mwezini bila kutarajia, sasa ebu niambie wamepata madhala gani,

ila unaweza kupata kinyaa tu ukiona midamu lakini hakuna madhala yoyoyote, wengine wanasema mabusha, mikosi nk ni uongo mtupu.
 
Siku hizi JF imezidisha MAPENZI mno, sasa hili kwa kweli utakuwa uroho wa fisi maji, hata RED CARD we unatamani!!!
 
puuuuuuu!!!!!!!
we Pape na Hebrewz hamna haya kweli..ndo mnataka muonekane marijali au vip.. we kama una nyeg* mshindo basi uwe unakula unda kila siku ila ikifika siku hizo za simba achia uwanja.. lakini we umechezaaaaaa mwezi mzima na simba wakitaka kucheza we nae wataka kucheza nao..inakuja kweli?? nyie wachafu hamna lolote..ukizingatia yale mazingira ya uwanja yanavyokuaga....afadhali ya kaka george ajinyamazie anamaadili yake..nyie wengine yo so disgusting..
 
Hii ingefaa kuwekwa kwenye jukwaa la doctors ndio tungepata majibu mazuri, kuliko hapa ambapo watu wengi wanaidharau badala ya kutoa majibu wanaisanifu.
 
puuuuuuu!!!!!!!
we Pape na Hebrewz hamna haya kweli..ndo mnataka muonekane marijali au vip.. we kama una nyeg* mshindo basi uwe unakula unda kila siku ila ikifika siku hizo za simba achia uwanja.. lakini we umechezaaaaaa mwezi mzima na simba wakitaka kucheza we nae wataka kucheza nao..inakuja kweli?? nyie wachafu hamna lolote..ukizingatia yale mazingira ya uwanja yanavyokuaga....afadhali ya kaka george ajinyamazie anamaadili yake..nyie wengine yo so disgusting..
asante mama mchungaji...
 
Hivi ule uteute unaotoka kwa mwanamke wakati wa "period" ni DAMU?? Si kweli kwamba ile ni DAMU! Na nani Daktari gani kasema kwamba ule ni UCHAFU? Nadhani ingawa wengi wa wachangiaji wanakerwa sana na hii hoja lakini naona wako poorly informed kuhusu elimu ya uzazi!
 
Kiafaya si nzuri alafu nawa si uvumilie siku 4 tuu wakati kuna mwezi mzima baada ya hapo
 
We mega tu..tena ikiwezekana ingia na chumvini kabisaaaaaa!
Loh.
nakumbuka kuna demu mmoja (enzi hizo niko shule!), nilimtokea, sasa siku ya mechi mi sina hili wal lile najua mambo shwari kumbe ndio ilikua siku yake ya mwisho ya doa jekundu, yeye kumbe haraka ya kutaka kumegwa akajua itawai kukata, Lol ile tumemaliza tu madoa hayo yakatoka, asee nilikasirika sana na kummwaga siku ileile.
 
Loh.
nakumbuka kuna demu mmoja (enzi hizo niko shule!), nilimtokea, sasa siku ya mechi mi sina hili wal lile najua mambo shwari kumbe ndio ilikua siku yake ya mwisho ya doa jekundu, yeye kumbe haraka ya kutaka kumegwa akajua itawai kukata, Lol ile tumemaliza tu madoa hayo yakatoka, asee nilikasirika sana na kummwaga siku ileile.
teh teh teh, hakuna mkuu, usingemmwaga...ungemsamehe tu...
 
teh teh teh, hakuna mkuu, usingemmwaga...ungemsamehe tu...
nilimmwaga kwa sababu hajijui mwili wake uko vipi.
mtu kama huyu hakawii kukwambia kesho yake NINA MIMBA YAKO!!, wakati jana yake alikwambia yuko kwenye siku ambayo ni safe, Lol.
 
Sioni ubaya kwa swali liliulizwa hapa, pia nashangaa watu wanapotamka muwa ni kinyaa, uchafu etc . Binafsi naamini kuwa hakuna maarifa mabaya (kuuliza si ujinga)
Kukujibu , unapswa kwanza ujua kuwa damu ya hedhi ni matokea ya kubomoka kwa kuta za mji wa uzazi (uterine walls) ambao ulikuwa ukiongezeka size siku hadi siku ukijiaandaa kupokea mimba, inapotokea kuwa mwanamke hajabeba/hajashika mimba basi ukuta huu hubomoka na kutoka in form of bloody discharge.Sifaa kuu ya damu ya hedhi ni kuwa huwa haigandi (it does not clot), which is a good thing kwani hata ikichafua shuka/chupi ukifua tu kwa sabuni ya kawaida inatoka. Endapo utaona damu hii ikiwa katika mabonge mabonge (clots) tambua kuwa kuna tatizo, mwone daktari.
Kuhusu kufanya mapenzi wakati wa hedhi hakuna tatizo lolote kiafya , LAKINI unapaswa kujua kuwa kipindi hiki kuna hatari kubwa ya kuambukizwa magonjwa kama vile UKIMWI, syphillis na magonjwa mengine yanayoambukizwa kwa njia ya Damu kwa vile utakuwa na direct contact na blood na mwanamke atakuwa exposed pia kwa kuwa kuta zake za mji wa uzazi zitakuwa zimebomoka (like an open wound). Hivyo endapo nyote mu wazima wa afya mnaweza kuendelea kumegana/megwa/mega. Zipo taarifa pia kuwa wanawake wengi hufurahia zaidi tendo la ndoa kipindi hiki
 
nilimmwaga kwa sababu hajijui mwili wake uko vipi.
mtu kama huyu hakawii kukwambia kesho yake NINA MIMBA YAKO!!, wakati jana yake alikwambia yuko kwenye siku ambayo ni safe, Lol.
pole mkuu....ndio maisha ayo....kwani ulipigana vita bila silaha?
 
Hi,
Kuna madhara gani ya kumega au kumegwa wakati 'mamsapu' akiwa mwezini (ndani ya zile siku 3-5 za rangi nyekundu)....

Kuna haja ya kutuletea 4m zako za dr. tucheck matokeo ya mwisho ya physco yanaonyesha nini.
 
Loh.
nakumbuka kuna demu mmoja (enzi hizo niko shule!), nilimtokea, sasa siku ya mechi mi sina hili wal lile najua mambo shwari kumbe ndio ilikua siku yake ya mwisho ya doa jekundu, yeye kumbe haraka ya kutaka kumegwa akajua itawai kukata, Lol ile tumemaliza tu madoa hayo yakatoka, asee nilikasirika sana na kummwaga siku ileile.
heheheee
umenikumbusha story moja nilisikia , kuna jamaa mmoja yeye ni dereva wa daladala..tena hapa bongo..sasa ana hawala yake mmoja, siku hio alimaliza kazi usiku kinoma mida kama ya saa tano usiku..akampitia demu wake akajitoma nae gesti bubu kwa ajili ya kujivinjali usiku mzima..mala hee umeme ukakatika..ebwana! hio haikuwasumbua sana kwavile jamaa nasikia siku ile ilikuwa ndo siku ya kwanza kumgonga yule demu, si akataka kujionyesha maufundi..basi akazama chumvini..jamaa alifyonza alifyonza kisha akamaliza gemu kama tunavyojua..asubuhi kutokana na pombe na uchovu wa gemu akachelewa kudamka ,akakurupuka bila kuoga wala nininafikiri hata uso hakuosha basi ilipofika mchana kila mtu anamwangalia usoni asa washikaji wakamuuliza kwani we usoni kwenye ndevu umepaka nini, jamaa kwenda kujiangalia alikuta zile blood zimeganda kwenye ndevu kuzunguka mdomo...kumbe ile jana demu alikuwa anaingia kwenye** sasa kutokana na kunyonyaa kwa sana akazifumua hukuo zilikokua.. acheni jamani....
 
Back
Top Bottom