Kumekucha Afrika, haya Tanzania nao wanataka kuongeza miaka ya hatamu ya rais

Mkuu hujasema kema kuwa jubilee wanabadilisha katiba mahakama isiwe na mamlaka ya kutengua wizi wa kura...

Kuna mengi sijayataja yanayotendeka kwenye nchi zetu hizi za Afrika, nimefanya kupitia juu tu, ila nikichimba zaidi hata mtasinzia mkiyasoma.
 
basi mkuu kama duniani kote hujui mataifa yenye awamu zaidi ya hizi nne za kwetu mjadala uishie hapa.
Sasa lengo lako ni kunipa mtihani au nikunipa hoja ili na mimi nikujibu?, Mimi nimezungumzia nchi za africa, bado sijaona nchi ya Africa yenye hizo term 20, kama hukuwa umeelewa hoja yangu pole sana, na karibu tena.
 

Unalolisema linakaa sawa na limetulia kama mkimpata rais bora na mwenye uadilifu na pia uzalendo na uchungu wa nchi, ila inakuaje pale mkiwa na bahati mbaya ya kumchagua rais anayewakomoa na kuharibu, hivyo ina maana mtamvumilia miaka yote hiyo, sio?

Leo hii inawezekana mkawa na rais mumpendaye na anayetimiza, lakini kumbuka hamyajui ya kesho. Ipo siku atakuja dikteta na kukalia ndani ya miaka yote 14, mtasaga meno kwa vilio.
 
Uadilifu wake ni nini?
Jibu wewe maana ya uadilifu, toa vigezo unavyoona vinafaa rais avitimize ili aweze kuitwa muadilifu, halafu tuone kama Magufuli yumo ama hayumo, inawezekena neno muadilifu tukawa na uelewa tofauti kabisa
 
Reactions: Oii
Jibu wewe maana ya uadilifu, toa vigezo unavyoona vinafaa rais avitimize ili aweze kuitwa muadilifu, halafu tuone kama Magufuli yumo ama hayumo, inawezekena neno muadilifu tukawa na uelewa tofauti kabisa
Mnatakiwa mjibu ninyi mliomuita muadilifu..kumuita muadilifu haitoshi.orodhesha huo uadilifu wake.
 
Mnatakiwa mjibu ninyi mliomuita muadilifu..kumuita muadilifu haitoshi.orodhesha huo uadilifu wake.
Sisi katika vigezo vyetu ameweza kuvitimiza ndiyo sababu tumemtaja kuwa muadili, anayepenga ndiyo mwenye jukumu la kuthibitisha pingamizi lake, ukishindwa kuthibitisha ingia kwenye gari tuwe pamoja( If you can not fight them, join them)
 
Reactions: Oii
Sisi katika vigezo vyetu ameweza kuvitimiza ndiyo sababu tumemtaja kuwa muadili, anayepenga ndiyo mwenye jukumu la kuthibitisha pingamizi lake, ukishindwa kuthibitisha ingia kwenye gari tuwe pamoja( If you can not fight them, join them)
Unaruka ruka tu.bado haujajibu swali.labda nikuulize nitajie maendeleo kumi aliyoyaleta magufuli
 
Unaruka ruka tu.bado haujajibu swali.labda nikuulize nitajie maendeleo kumi aliyoyaleta magufuli
Kichwa chako kibovu kabisa, kuwa muadilifu na kuwa mchapa kazi ni vitu viwili tofauti, nilijua kwamba kichwa chako kimejaa makamasi na hujui unalotaka kuzungumza ndiyo nilikuambia mapema, toa vigezo vya uadilifu mapema ili tuwe kwenye uelewa mmoja, sasa unazungumzia achievements, unaweza ukawa umeleta maendeleo mengi tu na usiwe muadilifu. Huna hoja agiza beer na uendelee kulewa.
 
Kubadili viongozi hakujawahi iendeleza Africa, tatizo letu waAfrika tume kalili tu kubadili viongozi.. bora kuwa na kiongozi mmoja aliye mzalendo na kutawala miaka 40 kuliko kubadili kila term mafisadi wapya.

Africa viongozi ni wachache wengi wana tamaa za madaraka so akipatikana mtu anaonekana na amethibitisha ana nia njema na nchi bora aendelee kutawala...

Gadaffi alitawala Libya zaid ya miaka 40 lakini kenya sijui Nigeria sijui Namibia cjui TZ hatukuwahi kuwa na maendeleo ya infrastructure na watu(socially/economically) hata robo ya Libya during Gadaffi era
 


Acha kulinganisha Tanzania yetu na ujinga, mambo ya kubadilisha muda ili kumuongeza Raisi ni kawaida kujadiliwa Tanzania, karibia kila Raisi aliyepita ilikuwa hivyo kuanzia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli, sema Magufuli inavuma kwa sababu ya wivu, wengi wanatuonea wivu ndani na nje ya Tanzania yetu, kwamba tuna Raisi ambaye anaijenga Tanzania yetu, na wanashindwa kwenye hila hoja wanahamia kwenye ujinga,wote ni wapiga dili na wezi wa Rasilimali zetu, chadema.

Isitoshe hata USA watu walikuwa wanasema Obama asingempisha Trump na kwamba angeongoza kwa emergency hii ni kawaida na hutokea kila mahali, Raisi Magufuli mwenyewe ameshasema kwamba hana hiyo nia na ndiyo muhimu!
 
Unaruka ruka tu.bado haujajibu swali.labda nikuulize nitajie maendeleo kumi aliyoyaleta magufuli
Yapo zaidi ya kumi, na uzi wake upo huku umeandikwa na REDEEMER
 
Africa hatuhitaji democracy bali viongozi waadilifu.
Itakugeukia , kuna siku. Lowasa, Sumayewangeliona umuhimu wa kuwa na katiba bora haya yasingeliwakuta. They were embraced by CCM favour wakasahau their main duty ya HAKI kwa wote.
 
Huyu Rais wa Tz ni rafiki mkubwa wa Kagame,Museveni na Nkurunziza
Does that tell you something
NB: Pia rafiki wa Odinga
Wakibugi kumoa railway ngoma inahamia kwao.
 
Mkuu,unamaanisha hata Mwenyekiti wako nimpigaji?
Tena huyu ndo hafai kabisa.ila akiongea mbele zawatu utadhani malaika nasikia ana hotel za kutosha kwao mwanza na miradi yake mingi ni RC wa Dar bashite ndio msimamizi wake na ndio maana wanapatana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…