Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Unakijua alichoulizwa Kikwete kuhusiana na ugaidi wa Mbowe ? afadhari usikijue tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakijua alichoulizwa Kikwete kuhusiana na ugaidi wa Mbowe ? afadhari usikijue tu
KweliHakuna mwanaccm mwenye aibu
Huo ndio ukweliHapo kwenye kupokelewa kwa bashasha sasa
Ameamuaje sasaUnakijua alichoulizwa Kikwete kuhusiana na ugaidi wa Mbowe ? afadhari usikijue tu
Endelea kututegea sikioAmeamuaje sasa
Wambie waende mpaka ubalozi wa papa,Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Sana. Chanzo cha ugaidi ni uonezi kwa hiyo kama kwa pamoja wanaonewa waache umoja?Magaidi yana umoja sana
Tena kipindi wanahangaika, tunawakebehi na kuwatukana. Sisi bana!Afadhali wao wanawafanya kitu kuliko wengi wetu tumekaa tu kusubiri mabadiliko walete wengine halafu sisi twende kufaidika.
Wakitoka huko tuwapime malindaBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Mungu tayari katufanyia kazi 1 kwa ufanisi , bado 4 , tunatarajia kabla ya december zitakamilikaWambie waendw uba
Wambie waende mpaka ubalozi wa papa,
Ikiwezekana watafute na ubalozi wa mungu.
😂😂😂😂😂endelea kututegea sikio
Mungu tayari katufanyia kazi 1 kwa ufanisi , bado 4 , tunatarajia kabla ya december zitakamilika
Hujui kituUbalozi unahesabiwa ni nchi ndiyo maana Lisu alivyoingia tu mule kumtoa ikawa haiwezekani ila ili ugewe hizo privileges na wewe una sharti la kutoingilia mambo ya nchi husika.
So ubalozi wa Marekani wanachowaza fanya ni kuyapokea hayo malalamiko na kuyatuma kwa idara inayodeal na Afrika.
Hii yaweza chukua miaka.
Tanu >CCM....ndio WATANZANIA WENYEWE HAO....Hivi sababu ya kumuondoa mkoloni ilikuwa Tanu kwa sasa ccm itawale milele au watanzania wajitawale wenyewe kwa katiba na Sheri na misingi yake.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hayo unasema wewe , sisi tuna nguvu gani mbele ya mitutu ya bunduki ? zetu ni dua tuNdio mnataka kumyoa mama kabla ya December!?