Kumekucha: BAWACHA watinga Ubalozi wa Marekani kushinikiza Freeman Mbowe aachiwe huru

Wambie waendw uba
Wambie waende mpaka ubalozi wa papa,
Ikiwezekana watafute na ubalozi wa mungu.
 
Wakitoka huko tuwapime malinda
 
Wambie waendw uba

Wambie waende mpaka ubalozi wa papa,
Ikiwezekana watafute na ubalozi wa mungu.
Mungu tayari katufanyia kazi 1 kwa ufanisi , bado 4 , tunatarajia kabla ya december zitakamilika
 
Hujui kitu
 
Hivi sababu ya kumuondoa mkoloni ilikuwa Tanu kwa sasa ccm itawale milele au watanzania wajitawale wenyewe kwa katiba na Sheri na misingi yake.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Tanu >CCM....ndio WATANZANIA WENYEWE HAO....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#SerikaliMbiliMilele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…