😁😁😁😁😁Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Na Mama yako yumo humo ujuwe....Wakitoka huko tuwapime malinda
Dunia kote wanawake ndio majasiri...Hii nchi wanawake ndio majasiri huku wanaume wakiwa kama maandazi
Usihangaike na watu duniNa Mama yako yumo humo ujuwe....
Funguka mkuu ..... Kipi hichoo alichoambiwa.Unakijua alichoulizwa Kikwete kuhusiana na ugaidi wa Mbowe ? afadhari usikijue tu
sasa unalia nini ?Kwani Mbowe amekamatwa na Wamarekani ? Tena marekani hawachekei magaidi, shauri yenu🐒
tuendelee kuwa hapahapaFunguka mkuu ..... Kipi hichoo alichoambiwa.
Bora hata ya mkoloni alituletea maendeleo kuliko ccmHivi sababu ya kumuondoa mkoloni ilikuwa Tanu kwa sasa ccm itawale milele au watanzania wajitawale wenyewe kwa katiba na Sheri na misingi yake.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
yaani hapo ndiyo wameenda kumchongea kabisa marekani na magaidi ni vitu viwili tofauti hapo lazima wamarekani watamwambia mama kaza uziiiiiiiiii hachomoki wala msitangulize wanawake kuwa mtahurumiwa magaidi wakubwa nyieBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Usisahau kumuomba Mola atufutie ile mikataba ya kuzimu Ili hali iwe shwaliNinawiwa kusaidia.Ninafanya jambo ,Mola anipe kibali nifanye ninachokusudia kwa faida ya kizazi cha sasa na baadaye.Allah unijaaliye.
Hapana wamarekani ndio waliompa Samia chanjo ya korona tena bure.Kwani Mbowe amekamatwa na Wamarekani ? Tena marekani hawachekei magaidi, shauri yenu🐒
Rais wetu mh.SSH ni msikivu sana....anaongoza serikali sikivu ya awamu ya 6....Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunakuomba umuachie Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe bado tunamuhitaji sana.
Usiwafananishe Wamarekani na mazezeta ya CCM wanajua gaidi ni yupi na yupi sio gaidi.yaani hapo ndiyo wameenda kumchongea kabisa marekani na magaidi ni vitu viwili tofauti hapo lazima wamarekani watamwambia mama kaza uziiiiiiiiii hachomoki wala msitangulize wanawake kuwa mtahurumiwa magaidi wakubwa nyie
Kesi tayari ipo mahakamani, labda kama wanata kupaza sauti ili kufikisha ujumbe.Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504