Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Hakuna aibu kubwa kuliko zote kama kunuka mdomo na miguu. Ni bora ukaonwa live unajisaidia haja kubwa kuliko hii aibu. Kwani hajui kama kuna dawa za kuondoa harufu mbaya miguuni na kinywani? Huyu kweli bashite(zero brain)
 
Ww jamaa kwa uchochezi una first class.

au na Wewe Mkuu una tatizo hilo hilo la kunuka Soksi, Miguu na kutema Ndomo? Pole sana ila nilichokifanya ni kuwasilisha Fumbo la SHILAWADU la jana usiku katika Kipindi chao na siku zote Waswahili huwa tuna tabia ya kutoa mafumbo makali na ya kuumiza hasa pale ambapo tukiwa tumefanyiwa jambo baya na Wenzetu katika Jamii, hivyo wenye akili tumewaelewa mno Watangazaji wa SHILAWADU akina Soud Brown na mwenzie Kwissa juu ya lile Fumbo lao la ' kutukuka ' kabisa la jana.
 
JINI MKATA UMEME [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hili neno nalo la ' Jini mkata Umeme ' walikuwa wakilisema sana pale mwisho mwisho walipokuwa wanakaribia kumaliza Kipindi chao. Na cha kuchekesha zaidi na kuonyesha kuwa hawa ' Madogo ' jana waliamua na walijipanga kuja ' kumuumbua ' Mtu kila mara walikuwa wanaomba kuongezewa muda kidogo wa Kipindi na wakawa wanaruhusiwa na kilichokuwa kikiendelea hapo ni kila mara " wanaonuka soksi na miguu WAPO.....unasema WAPO.....na wanaonuka mdomo pia WAPO..... unasema WAPO.....jini mkata Umeme huyo Kaja.....oya Mlinzi yupo Gado lakini Jini Mkata Umeme asije kutuingilia humu ". Nimecheka mno jana hakyanani!
 
Kipindi pendwa cha RAIA namba moja.. Kwa hiyo RAIA namba moja alikipata mubashara jana
 
Bashite atakuwa alikuwa anawakera sana clouds,
Mtu uingie ofisini kwa watu na uwe unakesha hapo huku miguu&mdomo inanuka khaaah??
Namtoa baru .........
Ooh ...umenikumbusha mbalii Sana na usemi wa "Namtoa Baru"
 
Noted....., siku ya wajinga sio[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Acheni ' uboya ' wenu nimeleta kitu ambacho kilikuwa ' mubashara ' jana na kama mliangalia kile Kipindi mtaelewa GENTAMYCINE nasema nini na sijauweka huu uzi kwa minajili kuwa leo ni siku yenu ya Wajinga. Kukubali kuwa leo ni siku ya Wajinga nadhani ni hitimisho rasmi kuwa tuna mapungufu makubwa Vichwani na nadhani badala ya kuikubali hii siku na kuipa promo au kipaumbele hivi basi tungeipinga isiwepo kwani inatudhalilisha mno kwa jicho la tatu.
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Tumebaki kusifiana kwa umbeya na siyo maendeleo.
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Mimi naona Hugo mtangazaji no kama mpuuzi flani asie jitambua
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Hiii ndy Tanzania baana
 
Jana na Mimi nimeangalia kipindi inaonekana kweli mkuu GENTAMYCINE huyu Daudi Bashite ananuka miguu na mdomo nimeona Yale madongo kwa Paul Makonda
 
Back
Top Bottom