Kunuka ni uchafu tu,kama mtu anavaa sox za plastic na anavaa akiwa hajakausha miguu ni uchafu.
Na mdomoni kama hapigi mswaki vizuri,hasafishi ulimi au na meno kwa upande wa ndani.
Na kama pia hasafishi upande wa jui uliounga na pua unasemaje ni ugonjwa usiotibika?
Au kama mtu ameweka "tartar"kwenye meno yake kutokana na kutotumia mswaki sahihi kwa muda mrwfu,wakati tartar ni mabaki ya chakula,unasemaje ni ugonjwa wakati ni uchafu?
Dawa ni kuwa na mswaki sahihi na mara nyingi ni ile "HARD",asitumie "MEDIUM" wala "SOFT"
*NB AMUONE DENTIST KWANZA asafishwe meno na ashauriwe namna ya kupiga mswaki na aina ya mwaki(siyo brand,ni ugumu) kutokana na meno yake.