Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Huo ni.ushauri sahihi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
bongo bwana!

Unaweza kuta hili bifu ndo lilikuwa bado linaendelea chini kwa chini
 
Napenda kweli kusoma nyuzi zako. Ila kikwazo ni hiyo style ya kuandika. Nashindwa kabisa kusoma. Macho yanatumia nguvuu Badili for me please🙏🙏🙏🙏🙏
 
Nasikia Ruge anaumwa so kakonda kinyama duh soudy ataokolewa na nani wakati boss wake mgonjwa kalazwa.
Wenye habari kamili muje.
 
Unamwambia ' Mtoto Mpendwa ' kuwa ananuka / anatema unadhani atakuacha hivi hivi? Hakuna Watu wenye ' Visasi ' vibaya na visivyoisha kama wa Kanda ya Ziwa. Naomba niishie hapa tafadhali.
kwahiyo " mutahaba " wame mpo poison " kweli "?
 
mkuu unatumia window gani hii alignment inatupa shida kusoma
 
mkuu unatumia window gani hii alignment inatupa shida kusoma

Window 7 halafu naipenda ' Kishenzi ' Mkuu na wala sina mpango wa kuibadilisha kwani wapo ambao hawapati nayo shida kama siyo taabu.
 
Naona ameamua kulala nao mbele akina Soudy Brown kazi wanayo
Kweli Dunia rangi rangile...kutoka 'huwa napenda sana kusikiliza shilawadu' mpaka kuja kusoteshwa lupango na Jamaa kuwachunia.

Nina uhakika kabisa sasa hivi hata ukimpigia Jamaa simu atakuuliza 'ni kina nani hao..mimi sijawahi kuwasikia'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…