Pre GE2025 Kumekucha CCM: Nape na Makamba 'waula', walitumbuliwa ili kutambuliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe mchawi siku hizi nimeanza kukuogopa ingawa nasubiri uniambie ni lini nitaitwa kwenda kuwa waziri wa fedha. Hizo 81B ni za makato kutoka mikopo inayopokelewa na serikali?
 
Weee jamaa duh
 
"Mgawanyiko" kati ya nani na nani?

Inapokuja kwenye maslahi binafsi, usitegemee kuona mgawanyiko mahali popote ndani ya chama hicho. Hili ni genge la ulaji, siyo chama cha siasa kinacho pigania maslahi ya wananchi tena.
Kwani hujawahi ona vibaka wamezulumiana kisha wanaamua kuchomana Kwa askari?

Ndicho ninachokiongelea.
 
Kwa Post hii wewe si mvivu.
Wassira kwenye makaratasi ana wasifu mkubwa, ana kitu kikubwa lakini yeye kama walivyo wasomi wengi wa kiafrika matumizi ya elimu yao kutatua changamoto za jamii zao hakuna kitu kabisa.
Output zero, 100% zero output.
Wanajali matumbo yao na familia zao.
 
Kama ilani inatengengezwa na kina Nape na wasira basi nchi hii haitakuja kuendelea kamwe
Sijajua wasomi wa Political Science Nchi wanafanya kazi gani....ilani ya Chama haihitaji wanasiasa ni suala la kuchukua masuala muhimu yaliyotolewa kwenye ya Dira ya Taifa na ile ya Afrika kuyafanyia kazi.
 
Kwani hujawahi ona vibaka wamezulumiana kisha wanaamua kuchomana Kwa askari?

Ndicho ninachokiongelea.
Hapana. Siyo magenge haya yaliyoko CCM nyakati hizi. Hawa wote wapo 'focused' kwelikweli kwenye kulinda maslahi yao binafsi kuliko kitu kingine chochote.
 
Huyo Wassira baada ya saa 24 atawakumbuka hao ni akina nani! Kama alishindwa kufunga vizuri koti lake la uzeeni memori bado haijakrashi! CCM hivi sasa imefilisika haina viongozi wenye uwezo wa siasa, tatizo ni kutegemea watoto wa viongozi kukiendesha chama.
 
Hawa wakora wawili wamepumzishwa uwaziri ili wajikite zaidi kubuni mbinu mpya za wizi wa kura kwani imeamuliwa zisitumike mbinu zile zilizozoeleka. Hiyo kusema Ilani ni tafsida tu.
Kwahiyo watu walidhani alitumbuliwa kwa kusema ccm huwa wanaiba kura, kumbe ndo kapelekwa kubuni mbinu mpya za kuiba kura?

Hii kali ya mwaka.
 
Ilani za chama cha majizi hazinaga maana, baada ya uchaguzi rais anyepitishwa bila kuchaguliwa huwa ndiye ilani ya chama. Mfano Magufuli akihamishia Dodoma makao makuu bila kutumia ilani ya CCM
 
Inawezekana walikuwemo kabla ya kutimuliwa, siamini eti wamechaguliwa baada ya kuondolewa kwenye uwaziri, kama waliowahurumia wamepoteza kazi,kina Maharage na wenzie,siyo rahisi mtu mwingine aibuke na kuwateua. Eti uwaziri ungewanyima nafasi,mbona Rais ni Mwenyekiti na bado ana majukumu ya urais!!
Taarifa ilisema uteuzi wao umetenguliwa na siyo wanakwenda kufanya kazi maalum.
 
Hapa pia Pascal Mayalla
 
Wewe mchawi siku hizi nimeanza kukuogopa ingawa nasubiri uniambie ni lini nitaitwa kwenda kuwa waziri wa fedha. Hizo 81B ni za makato kutoka mikopo inayopokelewa na serikali?
Naam platinum
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,
Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu
Britanicca
Mkuu nimekuvulia kofia!, mapingili chini!.
This is not good at all!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…