Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Naamink na kinana nae yumk hjmo kwenye kazi maalumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamink na kinana nae yumk hjmo kwenye kazi maalumu
Nasikia hata yule wa Mtamq amekutwa na Tsh 40 Billion na zimekuwa frozen. Kile kiburi hakikuwa cha bureAccount za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani
Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu
BrBritaniccan
Mzee Lukuvi karudi kwenye uwaziri, atapata muda wa kuandaa hiyo Ilani?Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.
Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.
Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.
Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.
Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Naomba kuuliza swali: kwenye ilani ya sasa ya CCM kuna mahali inatajwa kuhamishwa kwa Wamasai kutoka eneo lao na kuwagawia Waarabu misitu yetu?Hufikii hata moja ya nane ya upeo wa wasira
tunahitaji watu kama kadogosa dr dau, mh kishimba, watu wenye muona mbaliHaya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.
Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.
Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.
Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.
Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
wameteuliwa na nani? Labda rafiki yao Nchimbi ndio kawateua hao vibaka. Kwanza wana weledi gani kama sio ubabaishaji tu.Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.
Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.
Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.
Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.
Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Huyu mtu ni mpotoshaji mkubwa.Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.
Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.
Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.
Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.
Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)