Pre GE2025 Kumekucha CCM: Nape na Makamba 'waula', walitumbuliwa ili kutambuliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


BrBritaniccan
Nasikia hata yule wa Mtamq amekutwa na Tsh 40 Billion na zimekuwa frozen. Kile kiburi hakikuwa cha bure
 
Mzee Lukuvi karudi kwenye uwaziri, atapata muda wa kuandaa hiyo Ilani?
 
KUTUMBULIWA NI KUTUMBULIWA TU. Leo Makamba (Presidential figure kuwa mjumbe wa ati kuandika ilani? )
 
tunahitaji watu kama kadogosa dr dau, mh kishimba, watu wenye muona mbali
 
wameteuliwa na nani? Labda rafiki yao Nchimbi ndio kawateua hao vibaka. Kwanza wana weledi gani kama sio ubabaishaji tu.
 
Huyu mtu ni mpotoshaji mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…