Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
nataka useme ulitaka apangeje kikosi? Au ulitaka aingie yeye uwanjani kucheza?Mimi nimeongelea upangaji mbovu wa kikosi. Sijasema Yanga haina kikosi kipana, au baadhi ya wachezaji wake ni wabovu.
Huna mamlaka ya kuniamrisha cha kusema humu jukwaani.nataka useme ulitaka apangeje kikosi? Au ulitaka aingie yeye uwanjani kucheza?
Huyu kocha suala viwanja litamuumiza sana kama asipolifanyia kazi, si mara ya kwanza kuliongelea hili.