Kumekucha, hatimaye lango la mwisho limefunguliwa rasmi

Em jazia nyama ueleweke vizuri
Umeweka code sana bado
 
Wadau napenda kukumbusha tu kuwa sijui ni mimi mwenyewe naona namna tunavyozidi kuachwa mbali tena katika mbio hizi zinazoendelea!,ila mpaka mwakani tena tutakuwa tumeona mengi zaidi na mshindi rasmi atatangazwa baada ya miaka mitatu toka sasa.Angalizo;Usitegemee deep st(wazee wa ndani sana) kwani kwenye hizi nyakati wamekuwa vipofu wote na wao wenyewe hawajui kinachoendelea!,Mi nipo deep state ya ulimwengu wa roho kwa kweli tunapambana haswa lakini bado mambo mazito mno!.
 
Uzi mkubwa sana,
Mzuri sana, unatafakarisha na kufikirisha.
Unatupa maamuzi ya wapi tusimamie
Wakati wa Nuu ilikuwa hivi hivi, Yule mzee alionekana mlevi hana maana, anaanzaje kujenga safina kwenye kijiji ambacho hakina mto wa bahari!?
Lkn mwisho wa siku wajuaji wale walijiona kuwa bado hawajui.
Hongera mtoa Mada
Unastahili 5 star [emoji93]
 
Nyongeza;Hili ndilo lango la msimu wa mwisho wa watu wema na waovu kuchanganyika,linalofuata soon litawatenga watu wema na waovu na hapo fujo yake itakuwa ya kutisha sana!.(naomba tuliache kwanza hilo tulipambanie hili).
Na hili ukipata wasaa lidadavue vyema tuwe na Nondo zote mkuu
 
Yape nyama zaidi codes ziwe uncoded tupate madini.
 
Shukrani. Ni vigumu sana kueleweka kwa muda huu,lakini kadri siku zinavyozidi kusogea ndivyo mambo yazidi kujidhihirisha.
 
Na hili ukipata wasaa lidadavue vyema tuwe na Nondo zote mkuu
Sawa sawa,nitajitahidi maana tulianza vizuri hizi mbio ila kwa sasa naona viti viwili vikubwa vinagombana njiani. Nyakati hizi lazima mmoja avunjwe pembe ndipo na sisi "nyasi" tuone kwa haya macho yetu.
 
Angalia usije ukawapaisha wafuasi wako mbiguni kwa kuwafungia na kuwachoma moto.
 
Mwacha tuone panapo vuja , Good thing we are alive to witness this transformation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…