Kumekucha jamani.....niseme nisiseme?

Kumekucha jamani.....niseme nisiseme?

Itapendeza ukipigwa BAN la muda wote ( A life time JF BAN) utokomee kabisa.
Moderator lifanyieni kazi pendekezo langu. Apigwe BAN huyu jamaa ili iwe fundisho Kwa wajinga wengine watakaoleta uzi wa kipuuzi kama huu hapa JF.

' Purely Talented and Charismatic Fella ' GENTAMYCINE.
 
it is damn shame!!.......Uzi wa kijinga kama huu unakuwa na page mia ila uzi unaohusu viwanda unakuwa na page mbili!!![emoji32][emoji32][emoji32]
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Ujumbe mkuu iyo sura ni kielezo cha mpauko kama wa mtoa mada ,katuweka siku nzima huku anaongeza muda kama mnada wa Yono.
Umeelewa nini mkuu kutokana na uhusiano uliopo kati ya 'ujumbe' huo na 'mwenye thread yake'
 
Hivi genta umelaza watu macho sababu ya hii ya Mayanga? Hata wakigundua ana kinga watamfanyaje. Inabidi katiba ibadilishwe ndo wafukue makaburi.
 
Back
Top Bottom