Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Diana nae amejiweka cheap sana yaani hiyo gari imemfanana utafikiri alipewa kwao..Miss Tanzania iliishia mwaka 2006,baada ya hapo ni vihoja tu.
Sitaki kukumbuka gari alilopewa Diana [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Miss Tanzania iliishia mwaka 2006,baada ya hapo ni vihoja tu.
Sitaki kukumbuka gari alilopewa Diana [emoji23][emoji23][emoji23]
watafutwe waandaaji wenye malengo mazuri sio wenye maslahi binafsi
Aisee hiyo ndo yenyewe, hata mie natamani hiyo ije.bora walete MISS BANTU tuu maana ile hata sheikh kipozeo anaikubali