KUMEKUCHA!! Kongo DRC Majeshi ya SADC kuwaangamiza M23

KUMEKUCHA!! Kongo DRC Majeshi ya SADC kuwaangamiza M23

Mpaka leo sijawahi fahamu hao SADC troops wamekwenda kufanya nini huko DRC.

Natamani warudi maana naona aibu kwa kile wanachofanyiwa na RDF
 
Mpaka leo sijawahi fahamu hao SADC troops wamekwenda kufanya nini huko DRC.

Natamani warudi maana naona aibu kwa kile wanachofanyiwa na RDF
Wamefanyiwa Nini Mbona unajitekenya mwenyewe.Hao RDF ndio hao wanaowavizia wanajeshi wa SADC?
 
Wamefanyiwa Nini Mbona unajitekenya mwenyewe.Hao RDF ndio hao wanaowavizia wanajeshi wa SADC?
Hao m23 wanaonyanyasa SADC na FARDC ni RDF.

We huoni hata aibu. Kanchi kadogo kama wilaya ya kigamboni lakini kanahenyesha majeshi ya mchi karibu 16 ya ukanda wote wa kusini mwa Africa.

SADC waondoke tu huko tusiendelee kupata aibu.

Mfano mdogo tu hao SANDF eti taifa lenye nguvu Afrika ndio kila siku wanachapwa na M23 ila htujawahi kusikia wao wameua japo panya huko porini
 
Hao m23 wanaonyanyasa SADC na FARDC ni RDF.

We huoni hata aibu. Kanchi kadogo kama wilaya ya kigamboni lakini kanahenyesha majeshi ya mchi karibu 16 ya ukanda wote wa kusini mwa Africa.

SADC waondoke tu huko tusiendelee kupata aibu.

Mfano mdogo tu hao SANDF eti taifa lenye nguvu Afrika ndio kila siku wanachapwa na M23 ila htujawahi kusikia wao wameua japo panya huko porini
Huna akili sawasawa.
 
Huna akili sawasawa.
Sina akili ki vipi mkuu wangu?

Mi siongei kwa ushabiki ama mahaba. Naongelea fact sio siasa.

Ijumaa iliyopita m23/Rdf wame ambush vikosi vya SADC na kuua 1 na kujeruhi takribani 22 huku wakiharibu magari kadhaa ya kivita na kuteka magari mawili ya sandf.

M23/ rdf hata silaha wanazotumia ni za kisasa zaidi pamoja na ujuzi wa hali ya juu.

Hapa mi sifanyi ushabiki wa jeshi wala nchi yoyote bali kutokana na taarifa za wazi kutoka huko field

Sasa we endelea kuleta ubishi.
 
Back
Top Bottom