ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Acha ushoga maana una athiri mpaka ubongo kichwani ,tabia ya kuongelea mambo usiyo kuwa na elimu nayo niupumbavu iliyo kithiri.Dundukwa hili vipi tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushoga maana una athiri mpaka ubongo kichwani ,tabia ya kuongelea mambo usiyo kuwa na elimu nayo niupumbavu iliyo kithiri.Dundukwa hili vipi tena.
Hizo ni porojo za vijiwe vya kahawa.Matajiri wako wengi ila sio wote wanaweza kuvimilia uswahili tulionao bongo.Mo mwenyewe yanamshinda nani mwingine atatuweza.Kuendesha timu ya mpira ikapata mafanikio kwenye hizi nchi zetu sio kitu rahisi.Waulize yanga walikaa miaka mingapi hadi kumpata Gsm baada ya manji kuondoka.Kwa brand ya simba ilivyo akiondoka MO tutafika mbali sana ivi ni Tajiri gani asiyeitaka simba apa Tanzania na Africa kwa ujumla timu yenye fanbase kubwa apa Africa mashariki..asepe tu uyo kanji.
Hiyo fanbase mbona haionekani ikifanya chochote kila kitu tunamlalamikia Mo wakati yeye anamiliki nusu tu ya hisa.Ayo ni mawazo ya kitoto kwa fanbase na ukubwa wa simba ni Tajiri gani asiyeitaka..
Ni wakati wa kumkabidhi timu mzalendo Kugwangala, ni mtanzania mwenzetu asiye na chembe ya kuchanga asili nje ya AfrikaWanahela hata ya kufikisha timu mtwara au wanalishwa matango pori na kingwangwala? Mtamkumbuka Sana babra, mlimpiga vita kuwa anathibiti fedha za kuwapa " wazee wa timu" na wavivu wengine wanaotegemea timu kuishi mjini
Mnamtaka nani? [emoji23][emoji23][emoji23]HATUMTAKI HUYO MWAMED
Inshu sio brand kubwa tu,muwekezaji yoyote mwenye akili lazima awe na uhakika na pesa zake anazoweka!!leo mnafungwa mnataka awapishe je pesa zake alizowekeza?hiyo 51% yenu mashabiki mmseshatoa bei gani?!!kwa hili serikali ndio wa kulaumiwa na wao ndio wamekwamisha mchakato Hisa zingekuwa huru kama muwekezaji anaweza achukue 100% zote iwe mali yake.Siku zote timu za wanachama ni shidaaa!!Hata yanga nako ni hivyo hivyo tuKwa brand ya simba ilivyo akiondoka MO tutafika mbali sana ivi ni Tajiri gani asiyeitaka simba apa Tanzania na Africa kwa ujumla timu yenye fanbase kubwa apa Africa mashariki..asepe tu uyo kanji.
Mwambieni serikali MBadirishe mfumo!!timu za wanachama tajiri mwenye kujielewa hawezi tia pesa yake humo!!Hata huko Yanga tatizo ni lile lile tu,sema kwakuwa wanafanya vizuri pametulia.Kanji bai atuachie timu yetu..tukiongea ukweli utasikia eti hoo mnajua chama analipwa bei gani ayo ni mawazo ya kitoto ivi kwa stage aliyofikia simba kuna tajiri gani apa africa ambae atotaka kuwekeza simba.
Hamna washabiki wa Simba hapo bro, ni utopolo hao. Linchi limejaa watu wana fitna kupita maelezo.Hivi ninyi Washabiki wa Simba Mo akiondoka si tunarudi kule kwa kwa Kaduguda kununualia wachezaji Chapati huku Yanga wanatesa na Manji wao.
Ngoja siku akitoka mtamkumbuka sana, hata yeye anatamani kuondoka timu uswahili mwingi na kuendekeza makundi na kutaka upigaji.