political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Huko Algeria watakutana na baridi ya Simba ππ€£π"...Mvua imetuchanganya...Mvua tukienda Halftime na yenyewe inaenda Halftime, Timu zikirudi kutoka vyumbani Mvua na yenyewe inatua...
Yanga tukishambulia Mvua inakua kubwa...Wakishambulia Waarabu Mvua inakata.. Sasa hapo unajiuliza ni Mvua ya Nani?
Hii Mvua na kama ile Mechi ya Simba tu,,,Ile mechi tuliyofungwa na Simba...Hii Mvua ya Simba"
[emoji361]Akilimali Makame
Shabiki wa Yanga Sc.View attachment 2639085
Watakuta barfu tupuuu π π π π waende na njumu kwa faida yaoHuko Algeria watakutana na baridi ya Simba ππ€£π
Au nasema uongo jamani Bantu Lady Shadeeya Kalpana
Uzuri ni huu wana Jangwani tumerelax, madunduka FC mnahaha kama kuku aliyekatwa kichwa.Huko Algeria watakutana na baridi ya Simba ππ€£π
Au nasema uongo jamani Bantu Lady Shadeeya Kalpana