political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
"...Mvua imetuchanganya...Mvua tukienda Halftime na yenyewe inaenda Halftime, Timu zikirudi kutoka vyumbani Mvua na yenyewe inatua...
Yanga tukishambulia Mvua inakua kubwa...Wakishambulia Waarabu Mvua inakata.. Sasa hapo unajiuliza ni Mvua ya Nani?
Hii Mvua na kama ile Mechi ya Simba tu,,,Ile mechi tuliyofungwa na Simba...Hii Mvua ya Simba"
[emoji361]Akilimali Makame
Shabiki wa Yanga Sc.
Yanga tukishambulia Mvua inakua kubwa...Wakishambulia Waarabu Mvua inakata.. Sasa hapo unajiuliza ni Mvua ya Nani?
Hii Mvua na kama ile Mechi ya Simba tu,,,Ile mechi tuliyofungwa na Simba...Hii Mvua ya Simba"
[emoji361]Akilimali Makame
Shabiki wa Yanga Sc.