Kumekucha, Philip Coutinho wa Liverpool awasilisha hati kwa uongozi wa Liverpool kutaka kuhama!

Malafyale, timu ndogo ni timu ndogo tu! Jembe lenu linaondoka, sioni Klopp akimzuia mtu ambaye anataka kuondoka.
Mtamreplace na nani?? Confusion comes again on the blink of new epl compaign!
 
Vyanzo vya habari zenu navyo! Ngoja tuone
 
Liverpool nyie kwa sasa hadhi yenu ni kina lalana mwachen coutinyo aende zake

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Kaondoka Suarez, Sterling wamuache na huyu tu aondoke. ingawa ni mchezaji mzuri ila ndio mpira ulivyo kila mchezaji akifika level flani anataka new challenge.
 
Hata ungekua wewe wakuambie chagua ucheze na nani kati ya iniesta au Jordan Henderson sijui ungemchagua nani?
 
mmmh! wrong !!! Kwa kikombe cha EFA wote wapo sawa -5times.
- Ulaya FC.Barca anavikombe vingi sana ikifuatia Madrid .


Sent using Jamii Forums mobile app
Real ndo ana vikombe vingi akifuatiwa ma kina ac milan nafikiri! Barca nayo ni timu ndogo kwa real ktk vikombe kote spain na ulaya real ndo dume lao!
 
Barca wangemchukua Hazard . Namwelewa sana Hazard ni fundi . Anasifa kama Messi tofauti ni kwamba Messi yupo vizuri kwenye kufunga magoli zaidi na hapendagi ku_dive. Dribbling, Pass ,Nutmegs, chenga(kukusanya kijiji) wanafanana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Real ndo ana vikombe vingi akifuatiwa ma kina ac milan nafikiri! Barca nayo ni timu ndogo kwa real ktk vikombe kote spain na ulaya real ndo dume lao!
No! Haujanielewa . Sijamaanisha nani kabeba vikombe vingi vya UEFA CHAMPION LEAGUE.
Ninamaanisha kuwa Ulaya nzima timu inayoongoza kwa vikombe vingi ( jumla ya vikombe) namba moja Barca. na mbili Madrid.
Barca ana_approach 87, Madrid 85.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nimekuelewa, ngoja nizame mitandaoni nijiridhishe!!
 
Hazard ni winga wa kufanya kaunta attack, coutinho kwangu ni fundi zaidi na style ya barca itamfit vizuri, hazard style yake ni real madrid.
 
Real ndo ana vikombe vingi akifuatiwa ma kina ac milan nafikiri! Barca nayo ni timu ndogo kwa real ktk vikombe kote spain na ulaya real ndo dume lao!
acha uongo ww..........hio ni kwa champions league but kwa vikombe vyote hadi vya ndondo barca ndo inaongoza ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…