barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
- Thread starter
-
- #21
Okei.acha uongo ww..........hio ni kwa champions league but kwa vikombe vyote hadi vya ndondo barca ndo inaongoza ulaya
timu yenu ina uwezo wa kuifunga?Ni timu kubwa ya zamani.
Transfer request ina impact kubwa sana, labda liver waamue kumfanyia umafia Coutinho ambayo haitamuweka coutinho ktk saikolojia nzuri ya kucheza, cha msingi wavute mshiko ambao ni mrefu tu maisha yaendelee! Liver itawauma ila ndo laifu, ukiwa mdogo utauza tu kwa wakubwa.Had I muda huu Liverpool bado wanakanusha kupokea barua tika kwa Coutinho,pia kumbuka katika mkataba wake wa January hakuna kipengele cha kuachiwa kwa bei (I.e Release Clause) kama kwa Suarez au wengine waliopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madrid ndio inayoongoza ikichukua mara 12 ikifuatiwa na ac Milan imechukua 7, Liverpool na Barcelona wote wana makombe 5 ya uefa champions league.mmmh! wrong !!! Kwa kikombe cha EFA wote wapo sawa -5times.
- Ulaya FC.Barca anavikombe vingi sana ikifuatia Madrid .
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli adui muombee njaa, mzee hadi umeanzisha uzi kabisaHabari ndo hiyo, Ni ngumu sana kuikatalia barca wakati inakutongoza!
Coutinho awasilisha ombi la kutaka kuhama liverpool fc, ni wazi anasafisha njia ya kwenda barca!
Source: SkySports.
BONYEZA hapa kusoma habari toka SKYSPORTS.
Ni taarifa tu, wala sio uadui!!kweli adui muombee njaa, mzee hadi umeanzisha uzi kabisa
Taarifa umeileta huku unachekelea moyoni,Ni taarifa tu, wala sio uadui!!
Transfer Request means nothing kwenye ishu hizi....angekuwa na Release Clause kwenye mkataba wake ingemata zaidi....Habari ndo hiyo, Ni ngumu sana kuikatalia barca wakati inakutongoza!
Coutinho awasilisha ombi la kutaka kuhama liverpool fc, ni wazi anasafisha njia ya kwenda barca!
Source: SkySports.
BONYEZA hapa kusoma habari toka SKYSPORTS.
Instincts zangu ni kwamba anaondoka!Transfer Request means nothing kwenye ishu hizi....angekuwa na Release Clause kwenye mkataba wake ingemata zaidi....
By the way...kama Barca yenyewe inakimbiwa na super Star wake itakuwa Liverpool??
Football is business siku hizi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe unaisoma huku inakuuma.Taarifa umeileta huku unachekelea moyoni,
messi anajua kupiga chenga?!!!au mie tv nayoangalia hunidanganya?..kama messi hupiga chenga okocha na dinho walikua wanapiga ninu?!!Barca wangemchukua Hazard . Namwelewa sana Hazard ni fundi . Anasifa kama Messi tofauti ni kwamba Messi yupo vizuri kwenye kufunga magoli zaidi na hapendagi ku_dive. Dribbling, Pass ,Nutmegs, chenga(kukusanya kijiji) wanafanana sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
wenya timu wamesema hauzwi mtu na dogo ana mkataba wa miaka mi4Wananikatisha tamaa kabisa Liverpool kwa kuuza uza , lini sisi tutatwaa ndoo E P L?
Sent using Jamii Forums mobile app
dogo ye atulize nafsi tu..ashaolewa na mume alimkubali mwenyewejapo hakuna mkate mgumu mbele ya chai, lakini ya suarez kutaka kufosi kwenda arsenal yanaweza kumkuta coutinho
panda hapa Philippe Coutinho asks to leave Liverpool
Unauliza replacement????Malafyale, timu ndogo ni timu ndogo tu! Jembe lenu linaondoka, sioni Klopp akimzuia mtu ambaye anataka kuondoka.
Mtamreplace na nani?? Confusion comes again on the blink of new epl compaign!
Baada ya miaka mingi imekuwa ndogo !Ni timu kubwa ya zamani.
maswali kama haya ni ya kipuuzi kweli,nenda ukamuulize boateng wa bayern au ramos wa madrid majibu wanayo.messi anajua kupiga chenga?!!!au mie tv nayoangalia hunidanganya?..kama messi hupiga chenga okocha na dinho walikua wanapiga ninu?!!