barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
- Thread starter
-
- #41
Ebu tuweke ushabiki pembeni, coutinho akiondoka liver hawazibi pengo leo wala kesho! Litakuja zibwa baadae sana.Unauliza replacement????
Umeshawahi kuona club inakosa kupata mtu mwenye kiwango cha aliyeondoka?
Asiponunuliwa basi atatokea academy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sentence hiyo unataka kutuaminisha kuwa PSG ni kubwa kuliko Barca.....!!!!!Transfer request ina impact kubwa sana, labda liver waamue kumfanyia umafia Coutinho ambayo haitamuweka coutinho ktk saikolojia nzuri ya kucheza, cha msingi wavute mshiko ambao ni mrefu tu maisha yaendelee! Liver itawauma ila ndo laifu, ukiwa mdogo utauza tu kwa wakubwa.
Ebu tuweke ushabiki pembeni, coutinho akiondoka liver hawazibi pengo leo wala kesho! Litakuja zibwa baadae sana.
Ndio, niambie nani anaenda ziba hilo pengo endapo ataondoka.Hivi Coutinho ataacha pengo pale Liver?
Kivipi?? Huo ni mtazamo wako, kwangu psg ni katimu ka ndondo inapokuja kuwafananisha na barca!Kwa sentence hiyo unataka kutuaminisha kuwa PSG ni kubwa kuliko Barca.....!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wanapiga chenga mkuu, kwani hati miliki ya chenga walikua nayo hao tu?messi anajua kupiga chenga?!!!au mie tv nayoangalia hunidanganya?..kama messi hupiga chenga okocha na dinho walikua wanapiga ninu?!!
Sio kihivyo! Kuna wakati alikuwa majeruhi kwa muda mrefu na bado maisha yaliendelea! Ila Mimi sio shabiki wa liverpoolHivi Coutinho ataacha pengo pale Liver?
Kwenye post yako uliandika kuwa ukiwa mdogo lazima uwauzie wakubwa....... Barca wamewauzia PSG, labda ukarekebishe kule juu.....Kivipi?? Huo ni mtazamo wako, kwangu psg ni katimu ka ndondo inapokuja kuwafananisha na barca!
Zimebaki story tu. Hata kwenye kanga yapoLiverpool ilianza kabla ya Coutinho na itaendelea baada ya Coutinho. Liverpool ina Makombe mengi ya Uefa Champ Zaid ya Barca
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kazi ya kukusanya kijiji na dribbling ni ya Messi. Coutinho anaenda kufanya kazi ya Inesta. Na kazi ya Inesta sio hizo mambo unazosema.Barca wangemchukua Hazard . Namwelewa sana Hazard ni fundi . Anasifa kama Messi tofauti ni kwamba Messi yupo vizuri kwenye kufunga magoli zaidi na hapendagi ku_dive. Dribbling, Pass ,Nutmegs, chenga(kukusanya kijiji) wanafanana sana.
Sent using Jamii Forums mobile app