Kumekucha sasa kumekucha!

Kumekucha sasa kumekucha!

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Ndugu zangu wanafamilia ya JF
'Nimekumbuka wimbo wa siku nyingi kidogo ambao kiukweli sikuupenda wala sijui kaimba nani japo nimekuja kugungua umuhimu wake ukubwani
'KUMEKUCHA sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika''wazalendo amkeni tufanye kazi sasa''
Amkeni sasa JF members mjiandae kwenda kazini
Goodmomorning all!
**Hapa Kazi Tu**
 
Aiseeeeh.

Weka huo wimbo sasa tutaaminije kuwa huo wimbo upo Kama mleta mada hujui kuuimba wala hata kuuandika!?

Napita tu.
 
Ndugu zangu wanafamilia ya JF
'Nimekumbuka wimbo wa siku nyingi kidogo ambao kiukweli sikuupenda wala sijui kaimba nani japo nimekuja kugungua umuhimu wake ukubwani
'KUMEKUCHA sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika''wazalendo amkeni tufanye kazi sasa''
Amkeni sasa JF members mjiandae kwenda kazini
Goodmomorning all!
**Hapa Kazi Tu**



Mkuu naona unajitahidi sana kutoa uzi kama za Kisandu..

Sasa hivi utampita Kisandu kutoa uzi useless kabisa..

Kisandu has got himself a serious competitor!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu naona unajitahidi sana kutoa uzi kama za Kisandu..

Sasa hivi utampita Kisandu kutoa uzi useless kabisa..

Kisandu has got himself a serious competitor!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aksante kwa ushauri
 
Mkuu naona unajitahidi sana kutoa uzi kama za Kisandu..

Sasa hivi utampita Kisandu kutoa uzi useless kabisa..

Kisandu has got himself a serious competitor!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana! Anatoa nyuzi kama za....!
 
Ndugu zangu wanafamilia ya JF
'Nimekumbuka wimbo wa siku nyingi kidogo ambao kiukweli sikuupenda wala sijui kaimba nani japo nimekuja kugungua umuhimu wake ukubwani
'KUMEKUCHA sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika''wazalendo amkeni tufanye kazi sasa''
Amkeni sasa JF members mjiandae kwenda kazini
Goodmomorning all!
**Hapa Kazi Tu**
Ukipata ukuu wa wilaya usiimsahaau [HASHTAG]#DeoKisandu[/HASHTAG] ambaye mnafanana IQ ili muweze kujenga viwanda 100 vya verehani vinne uko kwenu kwa wasukuma.
 
Ndugu zangu wanafamilia ya JF
'Nimekumbuka wimbo wa siku nyingi kidogo ambao kiukweli sikuupenda wala sijui kaimba nani japo nimekuja kugungua umuhimu wake ukubwani
'KUMEKUCHA sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika''wazalendo amkeni tufanye kazi sasa''
Amkeni sasa JF members mjiandae kwenda kazini
Goodmomorning all!
**Hapa Kazi Tu**
mtu mzima hovyoooooooooooooooooooooooooo, jitahidi unaweza okotwa
 
Back
Top Bottom