Kumekucha: Sweden yaanzisha mchezo wa ngono, kama soka tu. Kuwa mwenyeji mashindano ya mabingwa Ulaya

Sweden imekuwa nchi ya kwanza duniani kusajili rasmi ngono kama mchezo na pia itakuwa mwenyeji wa michuano ya kwanza ya ngono ya Ulaya huko Gothenburg mnamo Juni 8.

Michuano hiyo ambayo itafanyika chini ya uongozi wa Shirikisho la Jinsia la Sweden kwa wiki sita huku washiriki wakijihusisha na vitendo vya ngono ikiwa ni pamoja na kutongozana, ngono ya mdomo, kuingiliana na zaidi.

Chanzo: EastAfricaTV
 
Hii topic ipo tayari umechelewa [emoji1]ziunganishwe
 
Sweden imekuwa nchi ya kwanza duniani kusajili rasmi ngono kama mchezo na pia itakuwa mwenyeji wa michuano ya kwanza ya ngono ya Ulaya huko Gothenburg mnamo Juni 8.

Michuano hiyo ambayo itafanyika chini ya uongozi wa Shirikisho la Jinsia la Sweden kwa wiki sita huku washiriki wakijihusisha na vitendo vya ngono ikiwa ni pamoja na kutongozana, ngono ya mdomo, kuingiliana na zaidi.


Nb: Nini maoni Yako kwenye hili[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…