Kumekucha: Timu za South Africa zaomba kupangiwa na Yanga Ili kujipima ubora

Kumekucha: Timu za South Africa zaomba kupangiwa na Yanga Ili kujipima ubora

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
ORLANDO PIRATES WANAITAMANI YANGA ILI WAJUE UBORA WA TIMU YAO.

Mashabiki mbalimbali Sauzi Wanaomba Yanga ipangwe kundi moja na Orlando ili wajue ubora wa timu yao.Huku wakiomba pia Aziz Ki anafaa kuwa pale Orlando.

Duh! Yanga sasa inatumika kama Kipimo cha Ubora

Hii yanga ni hatari sana kiasi Kwamba Kila timu inataka kutest ubora wao

Hizo ni baadhi ya comments za wasauzi
 
Kiuchambuzi ni Kwamba ....Kila timu Africa inataka kujipima ubavu Kwa wananchi

Faida yake ...

Yanga anaenda kuwa giant+ popular Africa

Madhara yake

Yanga anaenda kupoteza wachezaji wengi
1726999574053.jpg
 
Uzuri wa mashabiki wa yanga wanaamini habari yoyote kuhusu team yao isipokuwa ya mzee magoma tu.
Magoma yupo kimkakati mkuu.....Yanga inafanya umafia Hadi nje ya uwanja....

Magoma lengo lake lilikuwa kuwajaza makolo kwenye mfumo
 
ORLANDO PIRATES WANAITAMANI YANGA ILI WAJUE UBORA WA TIMU YAO.

Mashabiki mbalimbali Sauzi Wanaomba Yanga ipangwe kundi moja na Orlando ili wajue ubora wa timu yao.Huku wakiomba pia Aziz Ki anafaa kuwa pale Orlando.

Duh! Yanga sasa inatumika kama Kipimo cha Ubora

Hii yanga ni hatari sana kiasi Kwamba Kila timu inataka kutest ubora wao

Hizo ni baadhi ya comments za wasauzi
Mashabiki hao wanajiamini lakini viongozi wana wasiwasi. Pale South Afrika timu ya kuisumbua Yanga ni Mamelod. Hao Orlando watachezea goli nyingi
 
Mashabiki hao wanajiamini lakini viongozi wana wasiwasi. Pale South Afrika timu ya kuisumbua Yanga ni Mamelod. Hao Orlando watachezea goli nyingi
[emoji23][emoji23] wanataka kutest moto
 
ORLANDO PIRATES WANAITAMANI YANGA ILI WAJUE UBORA WA TIMU YAO.

Mashabiki mbalimbali Sauzi Wanaomba Yanga ipangwe kundi moja na Orlando ili wajue ubora wa timu yao.Huku wakiomba pia Aziz Ki anafaa kuwa pale Orlando.

Duh! Yanga sasa inatumika kama Kipimo cha Ubora

Hii yanga ni hatari sana kiasi Kwamba Kila timu inataka kutest ubora wao

Hizo ni baadhi ya comments za wasauzi
Dah! Pole sana Comrade. Naamini tupo wote humu jukwaani kivingine kabisa.
 
Back
Top Bottom