Kumekucha: Timu za South Africa zaomba kupangiwa na Yanga Ili kujipima ubora

Yanga raha sana.
 
Ninachokiona sio suala la kipimo bali ni suala la kuichukulia poa Yanga, nadhani Orlando Pirates wangetaka kipimo cha ubora wa klabu yao wangeiomba Caf iwapangie Al Ahly na sio Yanga

Orlando ni timu tokq pot namba 3 katika upangaji wa makundi na njia pekee ya wao kutoboa ni kuomba wapangiwe na timu zenye afadhali kwenye pot namba 1 na namba 2 ilipo Yanga na bila shaka wameiona hiyo nafuu kwa Yanga ukilinganisha na vigogo wengne wanaoweza kukutana nao
 
Waitwa ni NOISE MAKERS
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-23-14-48-49-33_6012fa4d4ddec268fc5c7112cbb265e7.jpg
    513.3 KB · Views: 3
Ukiona timu zinakukimbilia kupangwa na wewe shtuka wewe ni kibonde🤣
 
Ukiona timu zinakukimbilia kupangwa na wewe shtuka wewe ni kibonde[emoji1787]
Hapana mkuu ujue wew ni mbabe ....

Mfano Yanga now wanapenda wapangiwe mamelodi au Al ahly
 
Mashabiki wanaotaka Yanga sio kaizer tu.
Yani imetokea kwamba wanaamini Yanga imeshinda juu ya Mamelodi /Kaizer chief kwahiyo Wanataka Orlando nao wafungwe mana wanajiona wakubws sana kwakua hawajakutana na Yanga🤣 na Mashabiki wa Orlando wanajitetea kuwa wao hawajakutana na Yanga wanaweza kuifunga vizuri tu.
YAnga wakipangwa na Orlando wakaifunga aisee hio siku sipati picha🤣🤣 kwanza haitohitaji madhabiki watoke Dar watawakuta kule kule! Na wakiwafunga Yanga watavimba sanaaa!
 
Daaah kumbe[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…