kumekucha uongozi wa THT kuwafukuza linah na barnaba kuonekana kukubali kushiliki show ya jide

kumekucha uongozi wa THT kuwafukuza linah na barnaba kuonekana kukubali kushiliki show ya jide

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
UONGOZI WA JUU....WA THT kwa sasa wameandaa mkakati mzito wa kuwafukuza...wanamuzi hawa baada ya
kukubabali kushiliki show ya miaka 13..ya lady jay dee...na kuonekana kwenye video ambayo watashiriki show
ya lady jay dee......

tunaelekea wapi sasa....hii vita ...kwani wana makosa gani...kushiliki show ya jay dee....

source;tht facebook gruop,linah page,some blogs..like mpekuzi,

kazi ipoo mwaka huuu
 
hao viongozi wa tht watakuwa manafikiri kwa masaburi, upuuzi kabisa,halafu wanadai wanaendeleza wasanii
 
aiseee ruge ana angaika sana
 
hv hawataki wengine wapate japo mkate wao. wa kila cku kwa njia nyingine.icpokuwa kupitia kwao tu?
 
Jide anazidi kuwashinda nguvu ruge na vibaraka wake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nyie mnashngaa kwa nini ruge ana roho ya kukaanga sumu? angalieni sura yake.........Utafikiri analia akicheka...huku akilia utafikiri anacheka....

Mbya ptyuuuuuuuuuuu
 
Au yote sababu ya..... sababu yaa.....
Hili joto la hasira, amba....
NA RUGE mwenyewe..... yelela.....yelelaab.......
Huyo jamaa kweli ni kirusi......
 
Kwani si watu humu humu huwatukana akina Lina eti wananyonywa tht na kuwaona kama vile wamezubaa kwa kutolipwa ipasavyo?Kama ni hivyo hamuoni wakitimuliwa watakuwa huru na hawatanyonywa tena?Tueleweje sasa sie?wananyonywa ama wanafaidika wakiwa tht?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
me sjaona tatizo, kwani maisha yako tht peke yake? huo ndio mwanzo mzuri wa kusimama kama wao. ina manna tht ikifa hatuta wasikia tena? this is bullshit, corrupted. ts so sad kutegemea mtu.
 
me sjaona tatizo, kwani maisha yako tht peke yake? huo ndio mwanzo mzuri wa kusimama kama wao. ina manna tht ikifa hatuta wasikia tena? this is bullshit, corrupted. ts so sad kutegemea mtu.

Kaka tatizo si kuwafukuza..mi najua wale jamaa hawataishi hapo , wataendelea kuwasakama na kwa sababu bado hawana mizizi kama lady jdee wanaweza wakapotea kabisaaaa!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kaka tatizo si kuwafukuza..mi najua wale jamaa hawataishi hapo , wataendelea kuwasakama na kwa sababu bado hawana mizizi kama lady jdee wanaweza wakapotea kabisaaaa!
hivi mkuu unataka kuniambia bila Ruge huwezi kufanya music?
 
Kaka tatizo si kuwafukuza..mi najua wale jamaa hawataishi hapo , wataendelea kuwasakama na kwa sababu bado hawana mizizi kama lady jdee wanaweza wakapotea kabisaaaa!
hivi mkuu unataka kuniambia bila Ruge huwezi kufanya music?

Ofcourse unafanya lakini hebu fikiria wale madogo wakipigwa fitina kama anazopigwa jide watahimili kweli?, ukizingatia kwanza hawako vizuri kiuchumi, bado channeli hawazijui, watajikuta tu wanapote!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom