Kumekucha! Utafiti kuhusu uwezo wa akili

Kumekucha! Utafiti kuhusu uwezo wa akili

Utafiti wa Kisaikolojia Na Uliohusisha Uwezo Mkubwa Wa Akili za Mwanadamu Uliofanywa Na Maprofesa Bingwa Na Hodari Duniani Huko ktk Chuo Kikuu Cha Cape Town Afrika Ya Kusini Umegundua Yafuatayo:

1. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI JANUARY HADI APRIL...Ni Werevu Na Wana Akili Sana Na Mashujaa.
2. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI MAY HADI AUGUST.....Wana Akili Kiasi Na Ujinga Kiasi.
3. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI SEPTEMBER HADI DECEMBER...Ni Wajinga Hawana Mfano Dunia Nzima.


Hii ni kama ile kazi ya Sheikh Yahaya, a.k.a utabiri wa nyota.


Jesus Christ, alizaliwa 25 December 0000
Bill Gate, alizaliwa 28 October 1955 at 22:00 (= 10:00 PM )
Nikola Tesla was born on July 10,1856
Mimi Bubu Msemaovyo July
 
kweli watanzania tuna IQ ndogo, ila ya hii ni mwisho wa vielelezo....

mleta mada kaweka msisitizo kwa capital letters sehemu anazodhani ni point.... kwikwikwikwikwi
kisha kaweka msisitizo zaidi kwa kuweka asilimia ya jinsi anavyouamini yeye kwa namna alivyouchunguza yeyey huo utafiti... ha ha ha

kweli upumbavu hauna ujazo
GENTAMYCINE kazaliwa mwezi october saa tisa usiku! tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
Nimeyataka Mwenyewe Haya Na Sasa Nayakoga Madongo Na Nitakoma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sasa kama umezaliwa asubuhi lakini mwezi Desemba inakuwaje?

Ndo maana kuna magenious wa darasani lakini life yao hovyo kabisaa. Hujawahi ona dr bingwa lakini chapombe mbaya hata familia kaitelekeza! Hapo ni mkanganyiko wa mwezi na saa ya kuzaliwa...
 
Ndo maana kuna magenious wa darasani lakinoi life yao hovyo kabisaa. Hujawahi ona dr bingwa lakini chapombe mbaya hata familia kaitelekeza! Hapo ni mkanganyiko wa mmwezi na saa ya kuzaliwa...

ww jamaa noma,na ww ndo great thnker wa ukweli,yan comments zote hamna aliye waza k2 kama hv badala yake wanadhani either hao watafiti wamekosea,
 
haya maneno mengine bhana mie watu kibao nimewaacha form two na wamezaliwa january tena asubh
 
Daaah!Asante Mungu kua cjazaliwa ktk mwezi wowote miongoni mwa hiyo iliyotajwa!
 
ha ha ha ha, umesahau kimoja, ameweka jamii intelligence badala ya chit chat.

kweli watanzania tuna IQ ndogo, ila ya hii ni mwisho wa vielelezo....

mleta mada kaweka msisitizo kwa capital letters sehemu anazodhani ni point.... kwikwikwikwikwi
kisha kaweka msisitizo zaidi kwa kuweka asilimia ya jinsi anavyouamini yeye kwa namna alivyouchunguza yeyey huo utafiti... ha ha ha

kweli upumbavu hauna ujazo
 
Kama hii ndiyo report basi ni yakupima akili za watu...mleta mada kakamatwa kuwa anakili ya ki-ma-sa.buri, kwani kama ni utafiti haujakidhi vigezo vyote vya kiutafiti. Hizi ni porojo za vijiweni. Nakumbuka moja ya porojo za vijiweni ni kuwa ukitaka kujua size ya papuchi basi angalia vidole vyake vya mguu, likewise the men angalia vidole vya mikono, au when you stumble three times utakutana na mkosi..na mengine mengi lakini siyo utafiti
 
Utafiti wa Kisaikolojia Na Uliohusisha Uwezo Mkubwa Wa Akili za Mwanadamu Uliofanywa Na Maprofesa Bingwa Na Hodari Duniani Huko ktk Chuo Kikuu Cha Cape Town Afrika Ya Kusini Umegundua Yafuatayo:

1. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI JANUARY HADI APRIL...Ni Werevu Na Wana Akili Sana Na Mashujaa.
2. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI MAY HADI AUGUST.....Wana Akili Kiasi Na Ujinga Kiasi.
3. WATU WOTE WALIOZALIWA KATI YA MWEZI SEPTEMBER HADI DECEMBER...Ni Wajinga Hawana Mfano Dunia Nzima.

Hawakuishia Tu Hapo Wakaenda Mbele hadi Kuja Na Matokea Na Kusema Ya Kwamba...................:

1. WATU AMBAO HUZALIWA KATI YA SAA 11 ALFAJIRI HADI SAA 2 ASUBUHI...Ni Werevu Na Wana Akili Nyingi.
2. WATU AMBAO HUZALIWA KATI YA SAA 3 ASUBUHI HADI SAA 9 ALASIRI ...Wana Akili Na Wana Ujinga Kiasi.
3. WATU AMBAO HUZALIWA KATI YA SAA 10 JIONI HADI SAA 10 USIKU...Ni Wajinga Wa Kupindukia Dunia Nzima.

Tujitafakari Vilivyo Kwa Utafiti Huo ILA Binafsi Nimeuamini Kwa 99.999%.

ANGALIZO: Tafadhali Nisiulizwe Mimi Nipo Upande ktk Utafiti Huo Kwani Kila Mtu Atabeba Mzigo Wake Mwenyewe.

Nawasilisha Wana JF Wenzangu, Muwe Na Asubuhi Njema Na Weekend Iliyotulia Na Nawapendeni Nyote!
===================================================



Source: symbianize

mwenye taarifa tafadhali; hivi JK motors kazaliwa mwezi upi na saa ngapi?
 
Back
Top Bottom