Bernard bakari
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 407
- 781
Good.tunataka watu kama Ney wawe sauti zetu.Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.
Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu
Sasa mimi wa kolomije ntaelewa nini hapo?Research
Formal work undertaken systematically to increase the stock of knowledge
Call me Jay mkaita KolomijeSasa mimi wa kolomije ntaelewa nini hapo?
Kwani kwenye kamusi yetu neno marinda lina maanisha nini?Ney katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
Ruttashobolwa, sijawahi kumuona Mhaya mwenye akili ndogo hivyo, yakisemwa humu mnaona hoja, akiimba Ney ili kufikisha ujumbe kwa hadhira mnaona matusi. Pole sana, hata mimi niko tayari kuwa wakili wake. Licha ni mwana CCM!!hahahaha Nay ndicho alicho taka na sasa kafanikiwa...alitaka kuonana na wakina Lissu na Kibatala kupitia kiki ya matusi na watetezi wamejitokeza
Mzee kuna tusi gani palehahahaha Nay ndicho alicho taka na sasa kafanikiwa...alitaka kuonana na wakina Lissu na Kibatala kupitia kiki ya matusi na watetezi wamejitokeza
Kwakweli jamaa kajitolea sana maana kuna watu wanatoa bastola hadharani hata kama hakuna tishio lolote, walau Mange ambaye anarusha mawe akiwa mbali anaweza kua salama kidogoGood.tunataka watu kama Ney wawe sauti zetu.