Kumekucha: Wakili msomi Peter Kibatala na Tundu Lissu kumtetea Ney wa Mitego mahakamani

Bernard bakari

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
407
Reaction score
781
Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.

Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu

 
Good.tunataka watu kama Ney wawe sauti zetu.
 
Ney katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
 
Kwani kwenye kamusi yetu neno marinda lina maanisha nini?
 
well done!,wasipotokea akina ney JE ni nani atatusemea?...
•how can you prove kama mistari ya muziki imegusa mtu yeyote?
•HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUJISHUKU...!
 
Wahuni tu kutafuta kick, vitu vya maslah kwa wengi huwaoni ila issue za akina wema sepegu utawaona! Lisu sio wa kujifanya anajua kutetea wanyonge ilihal vijana wanagongwa 18% loan bodi huko, angekuwa mkweli angeonekana bt ni wauza sura
 
hahahaha Nay ndicho alicho taka na sasa kafanikiwa...alitaka kuonana na wakina Lissu na Kibatala kupitia kiki ya matusi na watetezi wamejitokeza
Ruttashobolwa, sijawahi kumuona Mhaya mwenye akili ndogo hivyo, yakisemwa humu mnaona hoja, akiimba Ney ili kufikisha ujumbe kwa hadhira mnaona matusi. Pole sana, hata mimi niko tayari kuwa wakili wake. Licha ni mwana CCM!!
 
taaluma ya sheria nadhani ina nasaba na Lucifer baba wa uongo, unafiki, hadaa , kiburi na maovu yote yakiwemo matuc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…