Kumekucha: Wakili msomi Peter Kibatala na Tundu Lissu kumtetea Ney wa Mitego mahakamani

Kumekucha: Wakili msomi Peter Kibatala na Tundu Lissu kumtetea Ney wa Mitego mahakamani

Hujui hats mama yako ni mpiga dili chadema?muhulize


Swissme
Mkuu issue za siasa mnahusisha mama zenu ndio nini? Mama na aheshimiwe. Alafu unaweza kusikia huyu ni mwanamke na ndio anaongoza kushambulia mama za watu.
 
Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.

Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu
Mawakili wengine si wasomi?[emoji23] [emoji23] msomi hawezi tetea ujinga/upuuzi!
 
Ney katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
umesema vyema
 
Wahuni tu kutafuta kick, vitu vya maslah kwa wengi huwaoni ila issue za akina wema sepegu utawaona! Lisu sio wa kujifanya anajua kutetea wanyonge ilihal vijana wanagongwa 18% loan bodi huko, angekuwa mkweli angeonekana bt ni wauza sura
Kama ww ni wa upande wa fisiem povu Linakutokaje. Ninyi wa fisiem loan board imewapa 100%.fisiem oyeee.
Acha wenyekutafuta haki watetewe
 
Ney wa Mitego safi sana Kamanda mpaka lini tutaishi kwa Shikamoo juu ya Serikali hii hapana. Tuna wajibu wa kutoa ya Moyoni wewe ni nani mpaka uwe unatusemea kila jambo na kutupangia wewe eh! Namnukuu Tundu Lissu Hatujawahi kupata Rais wa ajabu namna hii wewe kila siku ni Kuchagua na Kutengua hukupewa kura kwa ajil hiyo Ndg
 
Hongera wewe Mchungaji, huko tunakofanya ghiliba ndio umekuona kuzuri haya mkuu, kila la heri. Kupanga ni kuchagua.
Mkuu ni haki yako kuwa huko hukatazwi wala sio kosa...
 
Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.

Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu
Na wakauhoji wimbo wa salome kama una maadili,,
 
Back
Top Bottom