Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
hahahaha Nay ndicho alicho taka na sasa kafanikiwa...alitaka kuonana na wakina Lissu na Kibatala kupitia kiki ya matusi na watetezi wamejitokeza
Inabidi kuangalia kamusi japo kuna habari kwamba marinda ni mikunjo, yaweza kua mikunjo ya nguo au ile mikunjo ya tundu la kutolea haja kubwaKwani kwenye kamusi yetu neno marinda lina maanisha nini?
Hongera wewe Mchungaji, huko tunakofanya ghiliba ndio umekuona kuzuri haya mkuu, kila la heri. Kupanga ni kuchagua.siwezi kujiunga na wahuni mkuu....
Mkuu issue za siasa mnahusisha mama zenu ndio nini? Mama na aheshimiwe. Alafu unaweza kusikia huyu ni mwanamke na ndio anaongoza kushambulia mama za watu.Hujui hats mama yako ni mpiga dili chadema?muhulize
Swissme
Mawakili wengine si wasomi?[emoji23] [emoji23] msomi hawezi tetea ujinga/upuuzi!Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.
Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu
umesema vyemaNey katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
Siku ukujitambua wala hilo povu halitakutokaMawakili wengine si wasomi?[emoji23] [emoji23] msomi hawezi tetea ujinga/upuuzi!
Kama ww ni wa upande wa fisiem povu Linakutokaje. Ninyi wa fisiem loan board imewapa 100%.fisiem oyeee.Wahuni tu kutafuta kick, vitu vya maslah kwa wengi huwaoni ila issue za akina wema sepegu utawaona! Lisu sio wa kujifanya anajua kutetea wanyonge ilihal vijana wanagongwa 18% loan bodi huko, angekuwa mkweli angeonekana bt ni wauza sura
Jiheshimu uheshimiweMaswala ya mama angu yametokea wapi MKUU!??? Tafadhari usilete na usipende kuzungumzia wazazi wa watu Unajua mama angu Bado yupo hai!??? Hebu jaribu kukua MKUU....
Mkuu CDM ni wahuni tu na wapiga dili hilo halina ubishi...Jiheshimu uheshimiwe
Mkuu ni haki yako kuwa huko hukatazwi wala sio kosa...Hongera wewe Mchungaji, huko tunakofanya ghiliba ndio umekuona kuzuri haya mkuu, kila la heri. Kupanga ni kuchagua.
AkhsanteMkuu ni haki yako kuwa huko hukatazwi wala sio kosa...
Na wakauhoji wimbo wa salome kama una maadili,,Katika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.
Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu