Uchaguzi 2020 Kumekucha: Wapinzani tuandalieni mdahalo wa wagombea wetu Tundu Lissu, Bernard Membe, Lazaro Nyalandu na Hashimu Rungwe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni ombi tu kwa wenyeviti wa vyama shirika katika uchaguzi mkuu ambavyo ni Chadema, ACT Wazalendo na Chauma.

Mara ya mwisho kushuhudia mdahalo wa wagombea urais ilikuwa ni 2015 kati ya January Makamba, Mwigullu Nchemba, Dr Hamis Kigwangalla na mzee Hashimu Rungwe ambao wote walifeli vibaya sana mbele ya Dkt. John Magufuli.

Nawasilisha.

Maendeleo hayana vyama!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Benard Membe ni takataka tu hatuna shida nae upinzani, huyo mrafi wa madaraka hii nchi ameifanyia nn tangu awe madarakani? si bora hata akina Lissu tuliziona juhudi zao za kutetea maslahi ya nchi?
 
Benard Membe ni takataka tu hatuna shida nae upinzani, huyo mrafi wa madaraka hii nchi ameifanyia nn tangu awe madarakani? si bora hata akina Lissu tuliziona juhudi zao za kutetea maslahi ya nchi?
Sure.
Membe hana jipya.
 
Benard Membe ni takataka tu hatuna shida nae upinzani, huyo mrafi wa madaraka hii nchi ameifanyia nn tangu awe madarakani? si bora hata akina Lissu tuliziona juhudi zao za kutetea maslahi ya nchi?
Tupo pamoja, wasitake kutufanya sisi malofa
 
Kwahiyo chademo inawagombea wawili
Tundu lissu
Lazaro nyalandu
Mbona atar kwa afya
 
Angalau Lisu hajawahi kushika nafasi yoyote Serikalini,so kidogo watu wanaweza kusema wanajaribu waone

More than 60% mgombea wa CHADEMA ni Nya
Benard Membe ni takataka tu hatuna shida nae upinzani, huyo mrafi wa madaraka hii nchi ameifanyia nn tangu awe madarakani? si bora hata akina Lissu tuliziona juhudi zao za kutetea maslahi ya nchi?

More than 60% Nyallandu ndiyo mgombea wa CHADEMA,sasa sijui mutakuja na hoja gani. Muweke akiba ya maneno.
 
More than 60% mgombea wa CHADEMA ni Nya


More than 60% Nyallandu ndiyo mgombea wa CHADEMA,sasa sijui mutakuja na hoja gani. Muweke akiba ya maneno.
Hayo umesema wewe mkuu, wanachadema wenyewe wanajua undani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…