Kumekucha Yanga

Mhaini Hanspope hana umafia wowote kama angekuwa mafia kama elchapo asingekamatwa kisenge mwaka 1982 navkushindwa kupindua serikali,aliishia kufungwa maisha.Ni mzee ruksa aliyekuja kumtoa na wenzake 1995.Angefia ko
Sasa wewe umejalibu nini ktk maisha yako? maana mwenzio alijalibu pop
 
Naona Ndala fc mnacheza mziki Le Mafia Hans Pope kama alivyotaka, hahahaaaaaaaaa, mi mnyama ngoja nicheke kwa dharaaaaaaaauuuuu nikisubiri coup de grace la Hans Pope kwa watani.
Mbona ndio kawaida yenu kucheka mwanzo,,mwisho mnakimbilia fifa
 
Nasikia wanamtaka Ba musa mgosi[emoji115][emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…