Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kiume kuigiza kama wanawake. Hii ni moja ya kichochoze wa kuvunja maadili

Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kiume kuigiza kama wanawake. Hii ni moja ya kichochoze wa kuvunja maadili

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Nina kereka sana kuona vijana wengi wa kiume kujiwekea utamaduni ambao kwangu na utafsiri kama kuongeza matukio ya kuvunja maadili ya Kitanzania ikiwemo 'ushoga'.

Siku hizi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii mfano Tiktok Instagram au Facebook unakutana na video za vijana wa kiume wakiigiza kwa watoto wa kike tena wanafanya mambo kuliko hata hao wanawake. Jamani huwa nikiona hivyo naumi sana na kuwaza mengi kwenye kizazi kinachokuja.

Kuigiza kama wanawake kwa wanaume ni moja ya jambo linalochechea kuharibika kwa maadili sana. Je ndiyo njia rahisi ya kupata pesa? au ni kuiga tamaduni ya mataifa ya ulaya au mataifa mengine ambayo inaonyesha wazi kubariki mambo kama hayo?

Kwa kweli kama serikali wapo siriazi na kulinda maadili ya vijana wetu basi hii walitazame lakini wakilichulia powa basi tunazidi kupoteza nguvu kazi ya vijana wa kiume maana wengine wanaigiza na kuyafanya kweli kabisa.

Kwa leo yangu ni hayo!
 
Ni sanaa na ubunifu wanasema

Ila ukimjuji sana yeye anaingiza pesa yaani ndio ofisi yake ya kujipatia kipato pesa inatafufwa sana

Muangalie yule vocha wa tiktok
 
Baada ya miaka 6 mpaka 10 ijayo;
Tanzania itakuwa kwenye hii c
Screenshot 2024-10-25 211715.png
hati
 
Nina kereka sana kuona vijana wengi wa kiume kujiwekea utamaduni ambao kwangu na utafsiri kama kuongeza matukio ya kuvunja maadili ya Kitanzania ikiwemo 'ushoga'.

Siku hizi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii mfano Tiktok Instagram au Facebook unakutana na video za vijana wa kiume wakiigiza kwa watoto wa kike tena wanafanya mambo kuliko hata hao wanawake. Jamani huwa nikiona hivyo naumi sana na kuwaza mengi kwenye kizazi kinachokuja.

Kuigiza kama wanawake kwa wanaume ni moja ya jambo linalochechea kuharibika kwa maadili sana. Je ndiyo njia rahisi ya kupata pesa? au ni kuiga tamaduni ya mataifa ya ulaya au mataifa mengine ambayo inaonyesha wazi kubariki mambo kama hayo?

Kwa kweli kama serikali wapo siriazi na kulinda maadili ya vijana wetu basi hii walitazame lakini wakilichulia powa basi tunazidi kupoteza nguvu kazi ya vijana wa kiume maana wengine wanaigiza na kuyafanya kweli kabisa.

Kwa leo yangu ni hayo!
Mkuu wewe hata zile movies za Tyler Perry huwezi kuangalia, sivyo?
 
1729883964580.jpeg

Haka kajinga ukiniambia hakapelekewi moto nitabisha mpaka kuzimu.
 
Siwezi kuangalia movies ambazo vinaashiri ushoga kabisa
Usipoangalia inatosha, usitake kuwapangia wengine.

Hata hizo movies unazoangalia zina mashoga wengi tu labda wewe hujui tu.

Kama hutaki kabisa hizo habari ni bora useme huangalii movies kabisa.
 
Huyu Joti ndio alianza haya mambo kipindi kile cha Ze Comedy ya TBC 1, swali la kujiuliza je walikosa mwanamke wa kuigiza nafasi hiyo?

Kiujumla ni upumbavu
 
Ulitakiwa ukerekwe na watu wanaojifanya wanaume kwa nje wakati kwa ndani ni wanawake
 
Yani uwe shoga kisa umeona mtu kaigiza kama mwanamke? acha sababu zisizo na kichwa wala mguu.

Kama hupendi kwanini unaendelea kufuatilia hiyo mitandao? Futa accounts ikiwezekana acha kutumia simu janja.
 
Back
Top Bottom