Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Kabla sijajiingiza kichwa kichwa naomba kupata mrejesho ambao mlitangulia kwenye huu mgao hii kitu ni ya kweli?
1000004953.jpg

Sizani kama kuna watu wanauelewa na hii kitu nimeona wengi wakipost na kujimwambafai kwamba wamesaidiwa na hili shirika.

Mimi utafiti wangu wa mchongo ikabidi nifanye kujiridhisha wanataka nini kabla ya kusema umepata promotion kutoka UNICEF FOUNDATION na kujiridhisha kwamba hawa UNICEF FOUNDATION kweli wanafanya hili kwa usahihi! Majibu niliyoyapata ni haya
1000004955.jpg

1000004956.jpg

1000004957.jpg

Walipofikia hapo nikasepa sikutaka ujinga na wizi wa wazi wazi sasa najiuliza hawa watakuwa wamecheza sana hii michezo na wamepata pesa nyingi sana kwa wizi huu.

Na Watanzania wengi wanapenda vitonga sizani kama wanafikiria kuibiwa
 
Utakula ya kichwa muda si mrefu ukikomaa nao.

Facebook imevamiwa na hao wapuuzi (nasikia ni wakenya) na picha za ngono.
 
Uzuri wa Tanzania wanapenda kutapeliwa. Mambp mengine hayahitaji uwe hata na cheti cha form kuyaelewa mfano hili
Yaani kabisa unaambiwa utume ada ili upate msaada haiingii akilini kabisa hii kitu 🤣🤣🙌🙌
 
Walianza na picha za unyevu.
Kazi kweli kweli, naonaga uko kwenye page za watu unakuta amepostiwa utupu wa ngono sasa najiuliza anavuliaje hii kitu kwenye ukurasa wake nakosa jibu
 
Kazi kweli kweli, naonaga uko kwenye page za watu unakuta amepostiwa utupu wa ngono sasa najiuliza anavuliaje hii kitu kwenye ukurasa wake nakosa jibu
Wanachofanya ni kihodhi umiliki wa account husika kisha wanafanya yao, mhusika anakuwa hata hajui pia access ya kuingia kwenye account yake anakuwa hana mnamjulisha kwa sms za kawaida kuwa kuna picha za unyevu kapost viungo vimechomekeana
 
Hivi wabongo mbona mnavichwa vigumu kiasi hiki? Hakuna pesa ya bure!
 
Back
Top Bottom