Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoshea gari mtaani unaharibu rangi,maji yao yanakua na mchanga kwahiyo akipitisha kitambaa anakwaruza rangi...gari oshea carwash ambayo unaiamini
Ilinitokea mwaka juzi arusha nkastuka kumrudia fundi na mkwara mzito,akakubali kureplace ingine....gari nilipeleka kupiga bumper ya nyuma rangi,kutoka mjini mpka usa imekula mafuta ya kutosha ikabidi nigeuke na kurudi garage nlishashtuka nimepigwa
Asante sana kwa taarifa hii nzuri. Kesho nawahi kwa mafundi wakanisaidie kuchungulia maana nimeona hitilafu ya mngurumo wa gari baada ya kutoka kwa fundi na gari nikaacha kwake kwa muda wa siku 3 hivi.
Nimeuza sana huu unga kipindi hicho nikiwa mkata magari na sijawahi jua unaenda kufanyiwa kazi gani, lakini cha kushangaza wanunuaji wa hii bidhaa wako makini kweli kama wanunua Dhahabu.
Lakini pia kuna njia nyingi wapigaji wa huo unga wanatumia usikalili kutoboa tu wengine hufungua na kutoa unga nusu na kisha hufunga vizuri wala hutajua nini kimefanyika.
Asante sana mkuu. Yaani asubuhi ni temeke. Nime ku DM check.Bro niamini mm tayari umesha pigwa. Ila relax mjue fundi alie kupiga then kapambane nae. And usisahau kuja kutupa mrejesho hiyo kesho
Naomba utusaidie hiyo njia nyingine tafadhali. Utaokoa wengi.Nimeuza sana huu unga kipindi hicho nikiwa mkata magari na sijawahi jua unaenda kufanyiwa kazi gani, lakini cha kushangaza wanunuaji wa hii bidhaa wako makini kweli kama wanunua Dhahabu.
Lakini pia kuna njia nyingi wapigaji wa huo unga wanatumia usikalili kutoboa tu wengine hufungua na kutoa unga nusu na kisha hufunga vizuri wala hutajua nini kimefanyika.
Sidhani kama umeelewa alichomaanishaArusha-USA imekul mafuta ya kutosha? Kuna watu hamkua tayari kumiliki Gari Bali Toyo
Arusha-USA imekul mafuta ya kutosha? Kuna watu hamkua tayari kumiliki Gari Bali Toyo
Mbona me hayo Masega kwenye Mafula nilitoa Mwenyewe baada ya kuziba Gari ikawa inakosa Nguvu au ni kitu tofauti na baada ya kutoa kilichobadilika ni Muungurumo tu wa Gari but performance iko vilevile
Karibu nikuuzie bossMie nauza ya gari yangu anayejua soko lilipo anijulishe tuu.
Nimetoa kwenye scania tipa 93 na pia kwenye hilux vigo siyataki haya madude sasa niambieni soko liko wapi.
Kwangu kilichobadilika ni Muungurumo tu consumption ya mafuta ni ile ile na Mwaka sasa toka niyatoe.Gari kama haina shida wanatoa ya nini? Toa kama gari inakosa nguvu lakin kumbuka ukitoa hayo makitu la ma muungurumo ubadilike na lazma fuel consumption iongezeke
Huu ni uongo mkubwa wa kusema gari inakosa nguvuMbona me hayo Masega kwenye Mafula nilitoa Mwenyewe baada ya kuziba Gari ikawa inakosa Nguvu au ni kitu tofauti na baada ya kutoa kilichobadilika ni Muungurumo tu wa Gari but performance iko vilevile