demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ndio.
Katika ile nafasi palikuwa na Yacouba Sogne (25), Saido Ntibanzokiza (37) na Bernard Morrison (28) akiwa njiani kurudi.
Yes ulikuwa uamuzi mzuri zaidi uliojaa maono ya kujenga timu kwa ajili ya muda mrefu zaidi.
Ujio wa Aziz umetupa kitu cha ziada ktk eneo la kati. Nina amini hakuna anaye juta kuondoka kwake pale Yanga SC ukizingatia katika nafasi yake kulikuwa na wachezaji wenye kiwango sawa na yeye.
Sometime unaweza ukatakata tu mara moja lakini maga zote "form is temporary, class is permanent".
Thank You GOD for AZIZ KI.
Best Player In Africa (BPiA)
Katika ile nafasi palikuwa na Yacouba Sogne (25), Saido Ntibanzokiza (37) na Bernard Morrison (28) akiwa njiani kurudi.
Yes ulikuwa uamuzi mzuri zaidi uliojaa maono ya kujenga timu kwa ajili ya muda mrefu zaidi.
Ujio wa Aziz umetupa kitu cha ziada ktk eneo la kati. Nina amini hakuna anaye juta kuondoka kwake pale Yanga SC ukizingatia katika nafasi yake kulikuwa na wachezaji wenye kiwango sawa na yeye.
Sometime unaweza ukatakata tu mara moja lakini maga zote "form is temporary, class is permanent".
Thank You GOD for AZIZ KI.
Best Player In Africa (BPiA)