Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Hivyo vyote sijui tabia, client care, humanity na vingine deep sana mpaka psychology ashavisoma na kafanya mitihani huko chuoni ya oral na written tena migumu ilioshiba, it doesn't make sense kwenda kumpima tena upya
Ivyo amevifanya chuoni na sio kwenye ajira sasa ni lazima wathibotishe kama anavyo kweli
 
Hata sisi wakati tunajiunga na chuo kikuu cha Dar es salaam miaka hiyo pamoja na kupata division one zetu kali kabisa kwenye kidato cha sita, bado tulifanyishwa mtihani wa kukubaliwa kujiunga na chuo uliofahamika kwa jina la matriculation!

Na kwa wale waliofeli huo mtihani; hata kama walipata division one; waliachwa! So wakati mwingine tujitahidi tu kubadilika kulingana na mazingira ya wakati huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…