hii kitu nimekuwa nikijiuliza sana
1. kwanini inakuwa ngumu kuacha kufuatilia anayofanya ex wako though mlishabreak up.... tena wataka kujua anatoka na nani na yakoje mahusiano yao
2. kwanini majority huwaombea mabaya wapenzi wao wa zamani ktk mahusiano yao mapya
3. kwanini wengi kati ya walioachana wana katabia ka kukutana kukumbushia/kulana tunda no matter kila mmoja yupo kwenye mahusiano na mwingine
kama yapo mengine ongezea
Ukiachwa ndio utapata muda wa kumfuatilia ila kama wewe ndio umeacha hata time ya kumfuatilia hupati!
hii kitu nimekuwa nikijiuliza sana
1. kwanini inakuwa ngumu kuacha kufuatilia anayofanya ex wako though mlishabreak up.... tena wataka kujua anatoka na nani na yakoje mahusiano yao
2. kwanini majority huwaombea mabaya wapenzi wao wa zamani ktk mahusiano yao mapya
3. kwanini wengi kati ya walioachana wana katabia ka kukutana kukumbushia/kulana tunda no matter kila mmoja yupo kwenye mahusiano na mwingine
kama yapo mengine ongezea
hata ukiachwa......unamfuatilia ili iweje.......?
Kama unaendelea kumfuatilia basi yawezekana bado unampenda aidha alikupiga kibuti
1.Obssesion. . .
Kuna watu wako/mnaweza mkawa obssesed na maisha ya watu wengine badala ya yenu binafsi.
2. Wivu. . .
Sijui we ndo unakua umeacha/umeachwa ila unakua bado una hisia na mwenzio hivyo unamfuatilia ili kujiridhisha kama nae bado ana hisia na wewe au asha-move on.
3. Kukosa kazi. . .
Ukiwa busy huwezi kuwa na muda wa kumchunguza mtu ambae kwa kifupi HAKUHUSU tena.
4. Ung'ang'anizi. . .
Hizo ni dalili za mtu king'ang'anizi ambae kama ndio aliyeachwa basi anakua hakubali kuachwa.
Yote hayo ni matatizo . .kubali yamepita uendelee na maisha.
Songíto;3826046 said:ni malavidavi ya ki.COM haya... siku hizi kichefuchefu sana tu!!! watu wanajiita wameachana ila wanaendelea kufatiliana na huku wana wapenzi wapya, nyakati mwingine si kufatiliana tu.... hata kupeana mialiko ya kukumbushia enzi (ku-DO)!!!, utasikia x anamwambia mwenzake... "nimekumiss leo fanya basi mpango tukutane pale pale kwa siku zote", hapo ujue ni kawaida yao sana tu kufanya huo mchezo, halafu wakiwa kunako kwa kuwa wote wezi, wanaamua kuzima na simu kabisa wasisumbuliwe... wakirudi kwa wapenzi wao wanaowaita wa ukweli, macho makavuuuuuu, eti nilikuwa kwa uncle na simu ilizima chaji, au nilimpitia rafiki yangu ashura wa kimanzichana kafiwa na wifi yake... halafu utaona fasta anawahi kuoga na kutangaza kachoka anataka alale mapema leo..... siku hizi hamna wake na waume, ni magumegume na magubegube tu....