Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kuna vitu maamuzi yake huhitaji Hoja, yaan anasimama MTU makini anaelezea Kwa hoja !.
Sasa kumfukuza MTU namna hii, maana yake ni kuifanya habari iwe kuuuuuubwa , embu fikiria vyombo habari vireport " CCM yamfukuza aliyepinga kuvunjwa Kwa Katiba wakati wa zoezi za kuchagua Mgombea Urais'.
Habari kama hii Inakua Kubwa, inaamsha Hisia hata za waliolala , wanatambua kumbe Kuna uvunjifu wa Katiba uliofanyika?. Nao wao wanataman kujua ,wanafatilia zaidi na zaidi !!.
Maamuzi ya Busara ilikua ni Ama Kumpuuza, yaan Asijibiwe , au kumjibu tu Kwa hoja ili kuendelea kutoa sababu za kuhalalisha uhalali wa maamuzi ya Dodoma.
Sasa njia fupi ,Kwa mawazo mafupi , imekua ni Kusitisha Waandishi wa habari na kumfukuza Kwa kosa la Usaliti.
Khaaa yaan MTU kuhoji, ndio Usaliti?.
Kweli Kenge hasikii mpaka Damu imtoke masikioni.
Sasa kumfukuza MTU namna hii, maana yake ni kuifanya habari iwe kuuuuuubwa , embu fikiria vyombo habari vireport " CCM yamfukuza aliyepinga kuvunjwa Kwa Katiba wakati wa zoezi za kuchagua Mgombea Urais'.
Habari kama hii Inakua Kubwa, inaamsha Hisia hata za waliolala , wanatambua kumbe Kuna uvunjifu wa Katiba uliofanyika?. Nao wao wanataman kujua ,wanafatilia zaidi na zaidi !!.
Maamuzi ya Busara ilikua ni Ama Kumpuuza, yaan Asijibiwe , au kumjibu tu Kwa hoja ili kuendelea kutoa sababu za kuhalalisha uhalali wa maamuzi ya Dodoma.
Sasa njia fupi ,Kwa mawazo mafupi , imekua ni Kusitisha Waandishi wa habari na kumfukuza Kwa kosa la Usaliti.
Khaaa yaan MTU kuhoji, ndio Usaliti?.
Kweli Kenge hasikii mpaka Damu imtoke masikioni.