Kumfunga Simba bao 5 ni jambo ambalo haliwezekani na akili imekataa na kama ushindi ulikuwa halali bila kuhonga watu wetu basi nigongwe na gari nife

Kumfunga Simba bao 5 ni jambo ambalo haliwezekani na akili imekataa na kama ushindi ulikuwa halali bila kuhonga watu wetu basi nigongwe na gari nife

Simba tujipige vifua...tuendelee mbele...ule uwanja kwa mujibu wa Manara ulikua umejaa majini...sasa majini ya Yanga yalikua makali... ๐Ÿ˜Š ๐Ÿ˜Š ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿธ ๐Ÿธ ๐Ÿธ
 
Back
Top Bottom