Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Chizi mwingineMjinga bb yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chizi mwingineMjinga bb yako
Huyo sasa hivi ni adui wa awamu hii maana kumbuka yeye ni sukuma push.Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .
Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Nenda geitaChizi mwingine
Atayajutia maneno yake ya kejeli ya sisi wana ccm tunatembelea ma viiii eitiiiiiSio kumhamisha tu sema kuondolewa kwenye uenyekiti wa Kamati.
Jajawahi kufanya jambo kwa mafanikio zaidi ya kutembelea nyota ya mh Jaji WariobaYanalenga kuboresha utendaji katika kamati. Pia Wahe. Wabunge, mtakumbuka kwamba Mh. Polepole ni mzoefu katika masuala ya sera na kutunga Sheria, uzoefu alioupata katika Tume ya Katiba, na pia ni mwalimu mzuri tu eeehsasa uzoefu huo ukatusaidie huko kwenye by-laws
Reform kisa Polepole kaguswa?Hivi Nchi inahitaji reforms!
Anafanya makusudi jambo litendeke kwake atimize malengo yake.Atayajutia maneno yake ya kejeli ya sisi wana ccm tunatembelea ma viiii eitiiiii
Hapo naona unamtafuta ubaya kipara kipyaIlitakiwa avuliwe hata huo ubunge wenyewe halafu wangempa kazi ya kulinda na kusafisha kaburi la hayati kule Chato.
Lkn Job anakuwa na ushawishi mkubwa kwenye huo uchaguziKwani Spika ana madaraka kuchagua mwenyekiti wa Kamati?
Mwenyekiti wa Kamati anachaguliwa na wajumbe siyo Job
Hapana ni hang over za msiba wa mfadhili waoNi athari za chanjo!! Mzee kachanjwa huyo!!
Kupinga matumizi ya ARV ni kujidhuru mwenyewe.Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
Kama Kuna wajinga wajinga Jf ,si uondoke humu.Punguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Kati ya watu wanao jutia kifo cha mwenda zake ni pamoja na PolepoleAnafanya makusudi jambo litendeke kwake atimize malengo yake.
Tuendelee kumuombea awe na moyo wa subira.Kati ya watu wanao jutia kifo cha mwenda zake ni pamoja na Polepole
Kwenda kusafisha kaburi la mungu ndio chuki mkuu!Punguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Hakuna mwenye muda huo kumuombea mtu kama huyo aliye jaa majivuno na kiburi.Tuendelee kumuombea awe na moyo wa subira.
Huyo atakuwa ni mmojawao anaye linda kaburiKwenda kusafisha kaburi la mungu ndio chuki mkuu!
Mwenyewe anajiita mbunge wa taifa badala ya Mbunge wa kuteuliwa.Hakuna mwenye muda huo kumuombea mtu kama huyo aliye jaa majivuno na kiburi.
Sio uyo tu ila pia Kalemani na Chamuriho wapelekwa huko pia.Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .
Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?