Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Huyo sasa hivi ni adui wa awamu hii maana kumbuka yeye ni sukuma push.
 
Yanalenga kuboresha utendaji katika kamati. Pia Wahe. Wabunge, mtakumbuka kwamba Mh. Polepole ni mzoefu katika masuala ya sera na kutunga Sheria, uzoefu alioupata katika Tume ya Katiba, na pia ni mwalimu mzuri tu eeehsasa uzoefu huo ukatusaidie huko kwenye by-laws
Jajawahi kufanya jambo kwa mafanikio zaidi ya kutembelea nyota ya mh Jaji Warioba
 
Kwani Spika ana madaraka kuchagua mwenyekiti wa Kamati?

Mwenyekiti wa Kamati anachaguliwa na wajumbe siyo Job
Lkn Job anakuwa na ushawishi mkubwa kwenye huo uchaguzi
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Sio uyo tu ila pia Kalemani na Chamuriho wapelekwa huko pia.
 
Back
Top Bottom