kumhusisha diamond kwa ajali ya Darasa ni upunguwani

kumhusisha diamond kwa ajali ya Darasa ni upunguwani

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Baada a kupatikana kwa taarifa kuwa darasa amepata ajali akiwa katika moja safari zake, asilimia kubwa(si kubwa sana lakini inavuka nusu yao) wamemhusisha diamond na tukio la ajali daresa.

Hivi ajali yaa msanii ni ushirikina?

Kuna wasanii wangapi waliopoteza maisha yo kwa ajali...kwa nini ya darasa ihusihwe na ushirikina

Huenda labda wachangiaji wanafanya kwa utani,,kama ni hivyo tuangalie na vitu vya kutania basi,
na ni kwa nini awe diamond na sio mtu mwingine!

kwa nini msiseme kuwa ali kiba amehusika kwa kuwa darasa amechukua nafasi yake ya kupambanishwa na domo!

watanzania tuwe na staha na hakiba ya maneno

na nimeona kuwa ikitikea darasa akashuka kwa kushindwa kuweka
mipango yake vizuri, watu watamhusisha domo.

ushabiki usitutoe akili

tusiwajengee roho ya kuchukiana wao kwa wao

pole yao na tunashukuru wametoka wazima.
 
Punguza jazba na mbio hizo anaitwa darasa sio daresa
 
Wewe ndo umewachukulia serious....... wapuuze.
 
Najiuliza nani mwenye upungufu wa akili zaidi wao au wewe uliowachukulia serious

Mtu anayeamini kwamba uchawi upo au una nguvu sio mzima.
 
mwenyewe kashasema kuwa kuna watu wa nataka apotee kwenye map...sasa unabisha nini
 
Halafu nilichogundua watu wanapenda mipasho ndio maana ule wimbo ukapendwa sana
mziki mzima umejaa vijembe
mwanzo mwisho
..
halafu sasa anachokiimba na yeye pia kinamkuta..
kashaanza bla bla kibao kwamba ajali sio ya kawaida!! halafu hajioni kwamba kaota mapembe watu wamemwongezea mkia!!

anasema hana maneno ya kwenye khanga wakatimziki wote umejaa vijembe
 
Muha domo alijalibu kwa msukuma darasa kakwama usukuman sio pamuchezo mchezo jipange domo fata dawa niger uje ujalibu tena lakin hutaweza
 
Bila shaka ukiwachunguza sana utakuta ni BAVICHA hao, wanatumia vichwa kufuga nywele na kuendeshwa na hisia.
Wanaamini sana uchawi.
 
Back
Top Bottom