kiuzoefu wangu,viwanja vingi vya kibongo havijapimwa na wengi tunanunua maeneo kienyeji,sanasana mwandikishiane serikali za mitaa,jaribu kuilizia majirani na kiwanja kama hakina shida au sio cha dhulma/mgogoro,,hati utafatilia mwenyewe baadae..Wakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni wataalam mnisaidie
Ni hayo tu naomba msaada.
1. nenda idara ya ardhi kuhakikisha hakina miliki yoyote ya kisheria.... au matumizi yake ni yapi kama kiko kwenye planned areaWakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni wataalam mnisaidie
Ni hayo tu naomba msaada.
Assnteni sana ssna kwa ushaurii nitaufanyia kazi1. nenda idara ya ardhi kuhakikisha hakina miliki yoyote ya kisheria.... au matumizi yake ni yapi kama kiko kwenye planned area
2. Nenda serikali za mitaa na majirani wa kiwanja wanaweza kujua kama kina migogoro au la, then washirikishe katika kununua