Carina
Senior Member
- Jan 4, 2011
- 194
- 70
Wakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni wataalam mnisaidie
Ni hayo tu naomba msaada.
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni wataalam mnisaidie
Ni hayo tu naomba msaada.