Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Kama wengi mlivyo mezeshana na kukaririshana kuwa ukiwa na gari Basi mambo Safi.
Uzi huu utaenda na kinyume na hizo fikra.
1: Watu mmekaririshana kwamba ukiwa na gari Basi mambo yote yameisha Kama maisha ndio umesha yapatia. Lakini kiuhalisia hakuna kitu chenye stress Kama gari. Kama unasafari utapendelea kusafiri na usafiri wako binafsi ila kiukweli ni matatizo tu kwanza gharama za mafuta pili ukikutwa na break down ni matatizo tu ni tofauti na ukija kuchukua usafiri wa umma ukikata tiketi ya high class mambo yanakua poa Sana.
Pia ukija kuangalia kwa mizunguko ya mijini kwa usafiri wako binafsi sioni Kama unaenjoy maana muda wote utakua unawaza wazee wa wrong parking , utakuta unataka uende office fulani Ila ukikumbuka pale hamna parking unalazimika kuacha gari sehemu nyingine ili uende sehem nyingine na ukilicha muda wote unahofu ya kuibiwa , pia ukiwa na gari unakuwa umesha jiwekea mipaka yaani upo ndani ya zizi hapa hata kutanua wigo wa marafiki inakua ngumu zaidi utaishia kuwa na watu wale wale wa miaka yote.
Japo kuwa Sina uzoefu na wale wenye maisha high class ambao kutumia milioni kwa siku ni Jambo la kawaida kwao Ila Kama wewe niwalee ambao mikokoteni yetu haizidi milioni 20 hapa tulia tu hakuna Bata tunalo kula na haya magari zaidi ya stress na upweke tu.
2: Wanadai ukiwa na gari Basi utachakata mbususu Tani yako hii pointi ni uongo mkubwa na ulio tukuka....ukiwa na gari tayari unakua upo kwenye kwenye zizi hapa hao mademu utakutana nao wapi Kama kwenye usafiri wa Uma haupo yaani wewe kila sehemu unayoenda tayari umesha jipiga Pini na kuhusu kuzoa watu njiani ndio hofu kubwa Sana cos muda wote unakuwa na hofu ya kutekwa tekwa na kuibiwa. Sasa hao mademu utawapata vipi.....? Labda kurudi na mabaamedi nyumbani baada ya tungi.
Kifupi ukiwa na gari moja kwa moja unakua umejitenga na jamii na ukisha jitenga hata mademu utakua mbali nao labda uanze kuwazungukia wale wanao kufahamu way back ila kupata wapya utakua kwenye wakati mgumu Sana cos kwa uzoefu wangu mademu wengi wanapatikana asubuhi wanavyo enda makazini na kurudi majumbani na wengi wanatumia usafili wa Uma...Sasa wewe utawaokota wepi hapa zaidi ya kuwinda mabekitatu na wadangaji [emoji16][emoji16][emoji16] so ukiwa na gari kula Mbususu zinazo jitambua sahau mzee.
Kwa hizo hoja mbili naamini usafiri binafsi ni matatizo tu ...sijui kwa nyie wenzangu labda mnamawazo mengine.
NB
Mtakao kuja na hoja ya tafuta pesa mje mniaambie nitafute kiasi gani.
Uzi huu utaenda na kinyume na hizo fikra.
1: Watu mmekaririshana kwamba ukiwa na gari Basi mambo yote yameisha Kama maisha ndio umesha yapatia. Lakini kiuhalisia hakuna kitu chenye stress Kama gari. Kama unasafari utapendelea kusafiri na usafiri wako binafsi ila kiukweli ni matatizo tu kwanza gharama za mafuta pili ukikutwa na break down ni matatizo tu ni tofauti na ukija kuchukua usafiri wa umma ukikata tiketi ya high class mambo yanakua poa Sana.
Pia ukija kuangalia kwa mizunguko ya mijini kwa usafiri wako binafsi sioni Kama unaenjoy maana muda wote utakua unawaza wazee wa wrong parking , utakuta unataka uende office fulani Ila ukikumbuka pale hamna parking unalazimika kuacha gari sehemu nyingine ili uende sehem nyingine na ukilicha muda wote unahofu ya kuibiwa , pia ukiwa na gari unakuwa umesha jiwekea mipaka yaani upo ndani ya zizi hapa hata kutanua wigo wa marafiki inakua ngumu zaidi utaishia kuwa na watu wale wale wa miaka yote.
Japo kuwa Sina uzoefu na wale wenye maisha high class ambao kutumia milioni kwa siku ni Jambo la kawaida kwao Ila Kama wewe niwalee ambao mikokoteni yetu haizidi milioni 20 hapa tulia tu hakuna Bata tunalo kula na haya magari zaidi ya stress na upweke tu.
2: Wanadai ukiwa na gari Basi utachakata mbususu Tani yako hii pointi ni uongo mkubwa na ulio tukuka....ukiwa na gari tayari unakua upo kwenye kwenye zizi hapa hao mademu utakutana nao wapi Kama kwenye usafiri wa Uma haupo yaani wewe kila sehemu unayoenda tayari umesha jipiga Pini na kuhusu kuzoa watu njiani ndio hofu kubwa Sana cos muda wote unakuwa na hofu ya kutekwa tekwa na kuibiwa. Sasa hao mademu utawapata vipi.....? Labda kurudi na mabaamedi nyumbani baada ya tungi.
Kifupi ukiwa na gari moja kwa moja unakua umejitenga na jamii na ukisha jitenga hata mademu utakua mbali nao labda uanze kuwazungukia wale wanao kufahamu way back ila kupata wapya utakua kwenye wakati mgumu Sana cos kwa uzoefu wangu mademu wengi wanapatikana asubuhi wanavyo enda makazini na kurudi majumbani na wengi wanatumia usafili wa Uma...Sasa wewe utawaokota wepi hapa zaidi ya kuwinda mabekitatu na wadangaji [emoji16][emoji16][emoji16] so ukiwa na gari kula Mbususu zinazo jitambua sahau mzee.
Kwa hizo hoja mbili naamini usafiri binafsi ni matatizo tu ...sijui kwa nyie wenzangu labda mnamawazo mengine.
NB
Mtakao kuja na hoja ya tafuta pesa mje mniaambie nitafute kiasi gani.